Sio kila kitu kinachoongelewa humu kinakuwa serious mengine ni changamsha gengeSifa zimetajwa chache tu kupenda makucha na kunyanywa nyuchi, sasa kama ni wife na muda wote hujaziona hizo sifa mpaka ndio leo ukamchunguze hilo ni tatizo
Huyo hupenda sana kwenda kwa watu wasiokuwa na night dress mkuuSukubasi ni shetani juke ambalo hutokea kwa njia ya ndoto na huwa na umbo la kuvutia sana la mwanamke mrembo kijana ili aweze kutongoza wanaume nakufanya nao ngono....! Lakini kiuhalisia ukiachana na sura na shape ya kuvutia viunge vyake vingine vina utofauti na viungo vya kawaida vya mwanamke mrembo... Mfano ana...
. Kucha zake zimechongoka mfano wa kucha za ndege
. kichwani licha ya nywele zake ndefu lakini ana pembe za kishetani
. Nyuma juu ya makalioni pale mfereji wa matako unapoanzia ana mkia wa joka...
Neno hili Sukubasi linatokana na kilatini cha karibuni SUCCUBAE.. "Malaya" (kutoka succubare.. 'Kulala chini ya...) Kwa mara ya kwanza neno hili lilithibitishwa mwaka1387.....
Kulingana na mafundisho ya Zohar, Lilith alikuwa mke wa kwanza wa Adam, ambaye baadae alikuja kuwa Malaya (Sukubasi)
Alimwacha Adam na akakataa kurudi bustani ya Eden baada ya kujamiiana na malaika mkuu SAMAEL.... Inasemekana tendo hilo la kumwingilia Sukubasi linafanana na Kuingia pango la barafu... Pia simulizi zinasema kuwa Sukubasi alikuja kuongeza Sukubasi wengine ambao kazi yao kubwa ni kuwalazimisha wanaume wanyonye /warambe nyuchi zao(kuzama chumvini) zinazotiririsha haja ndogo na ugiligili mwingine wa kuchukiza....
Sukubasi wapendwa kunyonywa na kurambwa nyuchi zao imekuwa ni utamaduni maarufu sasa duniani kwa juhudi za Morrigan na Lilith Aensland kutoka wanyapaji wa giza ambao pia ni wasukubasi....
Je umeelewa nini hapa?
Lilith kwa jina la Sukubasi (Malaya) yupo na kizazi chake hakijawahi kufa bali kimeongezeka mara dufu....
Dalili za Sukubasi ni zipi?
Ndoto nyevu na mwanamke mrembo
Mwanamke mrembo mwenye kupenda mikucha mirefu iliyochongwa...
Wanachura na wanapenda sana staili za ajabu wa nywele
Wananogewa na wanapenda sana kunyonywa nyuchi zao mpaka zitoe ugiligili..
Ndugu zangu wa BK na katerero sijui mnasemaje hapa... Maana si kwa ugiligili ule wenye kemikali kali......
Jr
Libadilishe mkuu liwe mke kabisaNina lisukubasi langu moja hilo kweli lile ni Lisukubasi
Halafu kuna dume wake mkuu kuna baadhi ya wanaume waliwahi kumuexperience pia ikabidi waruke hewani.
Mmh batman?Halafu kuna dume wake mkuu kuna baadhi ya wanaume waliwahi kumuexperience pia ikabidi waruke hewani.
RakimsView attachment 893538
كمب الوح كمسكي م سم shauri yako!! HahahaMmh batman?
Mkuu kwa hiyo SAMAEL na yeye baada ya kuzama chumvini alibakia kuwa malaika mkuu?,
Hayo mambo mengine itabidi leo nikirudi home nimchunguze wife kama ni sukubasi
Brother post zako huwa naziogopa sana, ila hongeraSukubasi ni shetani juke ambalo hutokea kwa njia ya ndoto na huwa na umbo la kuvutia sana la mwanamke mrembo kijana ili aweze kutongoza wanaume nakufanya nao ngono....! Lakini kiuhalisia ukiachana na sura na shape ya kuvutia viunge vyake vingine vina utofauti na viungo vya kawaida vya mwanamke mrembo... Mfano ana...
. Kucha zake zimechongoka mfano wa kucha za ndege
. kichwani licha ya nywele zake ndefu lakini ana pembe za kishetani
. Nyuma juu ya makalioni pale mfereji wa matako unapoanzia ana mkia wa joka...
Neno hili Sukubasi linatokana na kilatini cha karibuni SUCCUBAE.. "Malaya" (kutoka succubare.. 'Kulala chini ya...) Kwa mara ya kwanza neno hili lilithibitishwa mwaka1387.....
Kulingana na mafundisho ya Zohar, Lilith alikuwa mke wa kwanza wa Adam, ambaye baadae alikuja kuwa Malaya (Sukubasi)
Alimwacha Adam na akakataa kurudi bustani ya Eden baada ya kujamiiana na malaika mkuu SAMAEL.... Inasemekana tendo hilo la kumwingilia Sukubasi linafanana na Kuingia pango la barafu... Pia simulizi zinasema kuwa Sukubasi alikuja kuongeza Sukubasi wengine ambao kazi yao kubwa ni kuwalazimisha wanaume wanyonye /warambe nyuchi zao(kuzama chumvini) zinazotiririsha haja ndogo na ugiligili mwingine wa kuchukiza....
Sukubasi wapendwa kunyonywa na kurambwa nyuchi zao imekuwa ni utamaduni maarufu sasa duniani kwa juhudi za Morrigan na Lilith Aensland kutoka wanyapaji wa giza ambao pia ni wasukubasi....
Je umeelewa nini hapa?
Lilith kwa jina la Sukubasi (Malaya) yupo na kizazi chake hakijawahi kufa bali kimeongezeka mara dufu....
Dalili za Sukubasi ni zipi?
Ndoto nyevu na mwanamke mrembo
Mwanamke mrembo mwenye kupenda mikucha mirefu iliyochongwa...
Wanachura na wanapenda sana staili za ajabu wa nywele
Wananogewa na wanapenda sana kunyonywa nyuchi zao mpaka zitoe ugiligili..
Ndugu zangu wa BK na katerero sijui mnasemaje hapa... Maana si kwa ugiligili ule wenye kemikali kali......
Jr
Rejea Mada hii: Mambo makubwa ambayo yamefichwa kwenye vitabu vya diniAdam alikuwa na wake wangapi mkuu?? Maana nijuavyo alikuwa na mke mmoja tu aliyepewa na Mungutoka ubavuni mwake (adam) ndiye ajulikanaye kama Hawa/Eva. Nieleweshe kuhusu hilo.