Unamfahamu dereva bodaboda yeyote aliyefariki kwa korona hata ya kusingiziwa?

Je, unamfahamu dereva bodaboda yoyote aliyekufa kwa korona hata ya kusingiziwa?


  • Total voters
    105
  • Poll closed .
You have a point..

Corona inaua kuanzia miaka 45 au awe na magonjwa
Na watu ambao sio active ..

Sio bodaboda Tu hata mafundi ujenzi umri below 40 si rahisi kusikia..

Boda Boda wengi Wana Corona na hawajijui
Ni carriers..wanasambaza..sio rahisi kuugua wao

Hiyo age limit ni ya huko Africa au. Mana ulaya huku Ni 60+ na wenye magonjwa. Lakini Sasa watoto Pia na Vijana Inawezekana Kuna Mutation nk. NB jamaa kaulizia watu wa bodaboda. Majibu yenu watu wa huko Ni muhimu Pia. Msiogope mana majungu Ni mengi sana. Hii inaweza toa mwanga wa tatizo kiasi fulani


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binafsi sioni sababu ya ku-vote.

Siyo swala la lazima.

Ahhhh. Mpiga majungu umeshikwa kinenani. Bwana Mlenge atakuwa Genius. Hujaambiwa uvote Bali umewekewa guidelines, nini cha kujibu tena kutokana na mahali unapoishi. Hujashikiwa Bunduki kwamba kila uzi lazima ujibu. Kwenye facts wacheza kigodoro mnaumia sana.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Should I say almost everyone in Tanzania is foolish? Watanzania wengi hawajawa informed kuhusu ugonjwa wa korona lakini wanavyopiga kelele utafikiri ni wataalam. Waendasha bodaboda wengi wako kwenye bracket ya 18 to 30 years old. Hili kundi duniani kote halijaathirika sana na madhara ya hawa virus. Vifo kwenye hili kundi ni vichache sana na vingi vimetokea kwa wale wenye underlying conditions nyingine. Lakini hili kundi ni hatari sana katika kusambaza virus. Hii ni kwa sababu siyo kwamba hawapati virus, la hasha. Wanapata kama makundi mengine ila hawaugui sana. Hii inawafanya wawe wasambazaji wabaya sana wa hawa virus (silence killers). Ndiyo maana unaona sehemu nyingi shule zimefungwa ili kuepusha virus kusambaa sana.

Kama mitihani ingekuwa unaingia unaona uache maswali ya Mwalimu au mtahini unaandika lako Sawa. Mkuu anzisha uzi mwingine. Hapa swali unappishi Pana bodaboda amefariki kwa corona. Hilo tu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
You have a point..

Corona inaua kuanzia miaka 45 au awe na magonjwa
Na watu ambao sio active ..
Sio bodaboda Tu hata mafundi ujenzi umri below 40 si rahisi kusikia..

Boda Boda wengi Wana Corona na hawajijui
Ni carriers..wanasambaza..sio rahisi kuugua wao
Respondents wa haya maswali walipaswa kuwa bodaboda na sio wauza Tangawizi na malimao
 
Should I say almost everyone in Tanzania is foolish?
No

Waendasha bodaboda wengi wako kwenye bracket ya 18 to 30 years old.
Hao waendesha bodaboda wachache wasio kwenye bracket ya 18 to 30 years old, ushasikia yeyote kafa kwa korona?

Hii ni kwa sababu siyo kwamba hawapati virus, la hasha. Wanapata kama makundi mengine ila hawaugui sana.

Now you are talking. Tunataka tujithibitishe kwenye stetimenti hiyo. Tungependa Watanzania wengi wapate kinga ya korona ila wasiugue ugonjwa wala kufa. Tumehisi lipo kundi moja la hivyo, na tunataka kuthibitisha kutoka kwenye umati wa watu. Why do you have problem with that?
 
Mukhi haziitwi ''helementi''! Ni Helmet. Umenikumbusha wazee wa kocha kabadilisha ''information'' badala ya ''formation''!

Ukitaka kuandika "Helmet" halafu ukaandika "helementi" hayo ni makosa. Ukitaka kuandika "helementi", kwa nini wadhani utalazimika kuandika "helmet"?
 
Back
Top Bottom