Bonde la Baraka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 4,580
- 7,938
Moyo wa mwanamke una uwezo wa kutunza siri zaidi ya serikali.
Wapo waliotoa mimba na wameambiwa hawatazaa tena. Wamekaa kimya.
Wapo walioolewa na kukimbia ndoa au kuachika, wametunza siri.
Wengine walipokuwa chuo mbali na nyumbani walishaiahi unyumba na mwanaume hata bila wazazi kujua
Wapo ambao wanaumwa magonjwa ya ajabu kama kifafa n.k wamekaa kimya
Wapo wenye watoto na wamewaficha kwa ndugu zao wamekaa kimya kana kwamba hawajazaa.
Wengine wana VVU wamekaa kimya.
Usimwamini mwamamke kwa 100%.
Mchunguze kwa gharama yoyote kisha fanya uamuzi ili kuepuka migogoro isiyo ya lazima ktk ndoa yenu.
Wapo waliotoa mimba na wameambiwa hawatazaa tena. Wamekaa kimya.
Wapo walioolewa na kukimbia ndoa au kuachika, wametunza siri.
Wengine walipokuwa chuo mbali na nyumbani walishaiahi unyumba na mwanaume hata bila wazazi kujua
Wapo ambao wanaumwa magonjwa ya ajabu kama kifafa n.k wamekaa kimya
Wapo wenye watoto na wamewaficha kwa ndugu zao wamekaa kimya kana kwamba hawajazaa.
Wengine wana VVU wamekaa kimya.
Usimwamini mwamamke kwa 100%.
Mchunguze kwa gharama yoyote kisha fanya uamuzi ili kuepuka migogoro isiyo ya lazima ktk ndoa yenu.