mopaozi
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 3,301
- 519
Hii si viagra ambayo inaleta maumivu ya kichwa,mafua na kupeleka mapigo ya moyo kasi na kudumu kwa muda mfupi mwilini.ukifk duka la dawa haswa yale makubwa siyo ya dawa baridi ulizia TADALAFIL(levitra) hii ina mg 20 tu na inakaa mwilini kwa muda mrefu na unaweza tumia mara moja tu na ukasahau kuwa ulikuwa na tatizo la nguvu usitumie SILDENAFIL(viagra) si nzuri sana ina madhara mengi.
Acheni kwenda kwa waganga wanaowapa mavumbi ya mbao mashine mnabwia kama walevi wa unga!!
Acheni kwenda kwa waganga wanaowapa mavumbi ya mbao mashine mnabwia kama walevi wa unga!!