Unalikumbuka Jina Lako Ulipoingia Kidato cha Kwanza Shule ya Sekondari.

DSN

JF-Expert Member
Feb 2, 2011
2,837
1,674
Nimekumbuka nilipoingia kidato cha kwanza shuleni kwangu tulikuwa tunaitwa Nyoya,nakumbuka kuna kijana mmoja mwenye asilia ya kisomali ambae alipata kuja kuwa maalufu sana wakati huo aliiingia darasani akiwa amevaa koti tukajua ni Mwalimu tukaamka full respect na kumwagia bonge ya salam Gooooooooood mmmmmmmmmmorning Sir!!!!!!!!!!!!!!!.

Ndie alietupiga mkwala akitwambia definition ya jina letu hapo shuleni kuwa tunaitwa NYOYA kuwa jina lako limeandikwa kwa chaki kwenye ubao wa ofisi ya Mwalimu mkuu na kama akiinuka shati lake likafuta jina lako ukutani jua autambuliki kuwa unasoma hapo shuleni.Wenyewe tumetulia tuli kimya tukiamini ni Mwalimu.Kumbe ni jamaa tu anasoma kidato cha tatu kaja kutuchimba biti.

Nilichojifunza ni kuwa kumbe walimu wanajua uwepo wa matukio hayo na wanayaacha yatokee ile nanyi mkue na kujifunza mambo fulani ingawa kwa wengine uwa ni kero iliyopitiliza kama kupewa shilingii mia ukanunuee kipande cha sabuni au pakit ya sigara.

MwanaJF wewe jina lako lilikua nani.
 
dah ilikuwa raha sana enzi hizo nilikuwa shule moja maarufu ya serikali pale moshi , wao ilikuwa form one lazima ubaitzwe na kupewa a.k.a
Nimekumbuka nilipoingia kidato cha kwanza shuleni kwangu tulikuwa tunaitwa Nyoya,nakumbuka kuna kijana mmoja mwenye asilia ya kisomali ambae alipata kuja kuwa maalufu sana wakati huo aliiingia darasani akiwa amevaa koti tukajua ni Mwalimu tukaamka full respect na kumwagia bonge ya salam Gooooooooood mmmmmmmmmmorning Sir!!!!!!!!!!!!!!!.

Ndie alietupiga mkwala akitwambia definition ya jina letu hapo shuleni kuwa tunaitwa NYOYA kuwa jina lako limeandikwa kwa chaki kwenye ubao wa ofisi ya Mwalimu mkuu na kama akiinuka shati lake likafuta jina lako ukutani jua autambuliki kuwa unasoma hapo shuleni.Wenyewe tumetulia tuli kimya tukiamini ni Mwalimu.Kumbe ni jamaa tu anasoma kidato cha tatu kaja kutuchimba biti.

Nilichojifunza ni kuwa kumbe walimu wanajua uwepo wa matukio hayo na wanayaacha yatokee ile nanyi mkue na kujifunza mambo fulani ingawa kwa wengine uwa ni kero iliyopitiliza kama kupewa shilingii mia ukanunuee kipande cha sabuni au pakit ya sigara.

MwanaJF wewe jina lako lilikua nani.
 
  • Thanks
Reactions: DSN
Back
Top Bottom