Unalikumbuka hili Game?

The Humble Dreamer

JF-Expert Member
Oct 12, 2015
7,440
10,232
Wakuu Salaam:

Unakumbuka hili Game?
IMG_20201014_115242_614.JPG


Uliwahi licheza?

Tupe mbili tatu.
 
Hii game ilikuwa imewekwa kwenye computer, kama computer game ambapo mcheza draft upande moja anachezqa na computer upande wa pili , ukisogeza kete tu na computer inasogeza kete sasa kila ukifunga huyo dada wa pemebeni anafunua nguo kiasi fulani , ukiendelea kuishinda computer basi huyo dada anasaula ngua zote anabaki kama alivyozaliwa.
 
Hii game ilikuwa imewekwa kwenye computer, kama computer game ambapo mcheza draft upande moja anachezqa na computer upande wa pili , ukisogeza kete tu na computer inasogeza kete sasa kila ukifunga huyo dada wa pemebeni anafunua nguo kiasi fulani , ukiendelea kuishinda computer basi huyo dada anasaula ngua zote anabaki kama alivyozaliwa.
Wew ushafikia hadi hatua ya mwisho
 
Noma sana! Ili nakumbuka nililipakua waptrick na nokia flani hivi kitambo sana...
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom