Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,104
- 49,395
Area 51 ni moja kati ya maeneo ambayo ndani yake kuna maabara za Undeground ambapo testing zote za mambo ya technolojia yanafanyika....
Moja ya kitu kinachofanyika Area 51 sub base 3 tunnel 9.0 ni human cloning project ambapo ni mambo ya siri nzito sana...
Huko ndo wanapikwa watu mbadala kwa ajili ya kuja huku duniani kureplace the lost and captured one..
Ndani ya area 51 kuna turnel zinazoasafiri umbali mrefu sana kulifanya eneo hilo kuwa na miji midogo ndani( sub underground cities) ambazo kazi yake ni kutest makazi na utendaji kazi wa viumbe hao wapya..
Lakini pia Viral innoculation testing ndo zinafanyikia mule ndani..
zikitoka nje huku ni kuja kufanya kazi kwetu tu...
Ni hatare sana chief .....
we have to dance with this frequency ya maangamizi...who is to survive now...between me and you...who gonna start to unolock the pattern of reality and work in right way ??
kazi ipo....stay awake
Hizi siri nyie mlizijuaje?