bepari mzalendo
Member
- Sep 12, 2012
- 18
- 7
Imekua ni tabia iliyojengeka kwa watanzania na hasa vijana kulilia mabadiliko nchini.. hasa kisiasa, kiuchumi na kijamii., hii imedhihirika mtaani na hapa jamvini (JF)
Kumbuka yale tunayofanya kila siku at an individual level ndio yanayoifanya/yatakayoifanya Tanzania ya kesho. Kesho wewe ndio kiongozi serikalini, kwenye NGO, katibu mkuu/bosi wizarani, au bosi katika kitengo nyeti nchini..
swali; Je? Wewe umebadilika?? nini umekifanya/unakifanya kuleta mabadiliko katika jamii inayokuzunguka? (just pale mtaani unapoishi au kazini) What are you doing to help/make a change and influence others?
Tafadhali share/post yale uliyoyafanya/unayoyafanya katika jamii inayokuzunguka yanayokupa haki ya kuzungumza/kuwalaumu/kuwarekebisha wengine wanapokosea...
Kumbuka yale tunayofanya kila siku at an individual level ndio yanayoifanya/yatakayoifanya Tanzania ya kesho. Kesho wewe ndio kiongozi serikalini, kwenye NGO, katibu mkuu/bosi wizarani, au bosi katika kitengo nyeti nchini..
swali; Je? Wewe umebadilika?? nini umekifanya/unakifanya kuleta mabadiliko katika jamii inayokuzunguka? (just pale mtaani unapoishi au kazini) What are you doing to help/make a change and influence others?
Tafadhali share/post yale uliyoyafanya/unayoyafanya katika jamii inayokuzunguka yanayokupa haki ya kuzungumza/kuwalaumu/kuwarekebisha wengine wanapokosea...
It always start with u...