alexelias
JF-Expert Member
- Sep 1, 2017
- 2,032
- 3,198
Mimi nacheka sana!
Hivi,mpinzani wa kweli ni yupi hasa?
Ni km wapinzani wa nchi fulani wadandia hoja zilizo mfu?!
Ni km hawa wazee wa kubadirisha anga juu kwa juu?
Ni km hawa wasiyo na msimamo wa hoja zilizo endelevu?!
Ni km hawa wazee wataka huruma na wasingizia kuonewa kwa kila kitu?!
Ni wepi hasa wapinzani walio wa kweli?!
Jamani tuache utani. Huwezi ukawa mpinzani wa kweli kwa kulialia na kujionyesha kuwa unaonewa kwa kila jambo.Hata km uonevu huwa basi si kwa namna ambayo wapinzani wanataka tuamini-ni UMBUMBUMBU!
Wapinzani fanyeni na pambaneni na hali zenu na msitake eti tuwaonee huruma!Pambaneni kiume!
Hivi,mpinzani wa kweli ni yupi hasa?
Ni km wapinzani wa nchi fulani wadandia hoja zilizo mfu?!
Ni km hawa wazee wa kubadirisha anga juu kwa juu?
Ni km hawa wasiyo na msimamo wa hoja zilizo endelevu?!
Ni km hawa wazee wataka huruma na wasingizia kuonewa kwa kila kitu?!
Ni wepi hasa wapinzani walio wa kweli?!
Jamani tuache utani. Huwezi ukawa mpinzani wa kweli kwa kulialia na kujionyesha kuwa unaonewa kwa kila jambo.Hata km uonevu huwa basi si kwa namna ambayo wapinzani wanataka tuamini-ni UMBUMBUMBU!
Wapinzani fanyeni na pambaneni na hali zenu na msitake eti tuwaonee huruma!Pambaneni kiume!