Nukta5
JF-Expert Member
- Jun 7, 2014
- 1,180
- 1,276
Nikiwa mdogo miaka ya 90 kuna jirani alikua na volkswagen bettle siku moja amefika anaingia apaki nikakidandia kwa uku kwenye mlango huwa kuna ile sehem ya kanyaga ghala nikateleza nikaanguka miguu ikaingia chin ya gari likanipanda nikasikia makelele watu huko nashukuru Mungu hata haikuvunjika.
Miaka ya 2008 au 09 nikiwa shule A level shule moja Dar niliumwa malaria week 2 nakunywa panadol tu sijui nilikua na mawazo gani siendi hospital ilifika hatua sasa hali ikawa mbaya zaidi nilikua najikaza niende kula ghafla nikaona nguvu zote zimeisha nikaona giza macho yakafumba yenyewe kulikua na mwanafunz mwenzangu ndo alinidaka nikakumbuka kumwomba Mungu nikataja tu Yesu nisaidie alivyonitua chini kunilaza ghafla nilipata nguvu ambazo kubwa nikajikuta nataka nipelekwe hospital bahat nzuri wakaniwahisha
Miaka ya 2008 au 09 nikiwa shule A level shule moja Dar niliumwa malaria week 2 nakunywa panadol tu sijui nilikua na mawazo gani siendi hospital ilifika hatua sasa hali ikawa mbaya zaidi nilikua najikaza niende kula ghafla nikaona nguvu zote zimeisha nikaona giza macho yakafumba yenyewe kulikua na mwanafunz mwenzangu ndo alinidaka nikakumbuka kumwomba Mungu nikataja tu Yesu nisaidie alivyonitua chini kunilaza ghafla nilipata nguvu ambazo kubwa nikajikuta nataka nipelekwe hospital bahat nzuri wakaniwahisha