Aisee kama siku zako zipo zipo t
Niliwahi pata ajali na Noah njia ya Msanga ni Mungu tu ilipiga sarakasi Mara tatu ikaenda bondeni ikakaa miguu juu nilikuwa na rafiki yangu niliuumia tu kidole kidogo ila gari haikufaa tena watu wavijijini na trafic police walishia tu kushangaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Alikuwa bwawa huyo mkuuNilipiga demu muathirika tena kavu tena mixer kuingia uvinza, kuja kupima nipo negative. Hapo nilijikuta nauona mkono wake bwanaaa, haleluyaaa!
Aisee mpaka Leo nimekuwa nawashauri marafiki zangu bora ununue baby walker kuliko mtembea na nakifo Noah niilisha Eicher tu ndo ilikuwa kosa kurudi site yangu ikapigwa mtama wang'ombe chaliiUnabahati sana mkuu ajari za naoa huwa hazi achi mtu salama kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee mpaka Leo nimekuwa nawashauri marafiki zangu bora ununue baby walker kuliko mtembea na nakifo Noah niilipisha Eicher tu ndo ilikuwa kosa kurudi site yangu ikapigwa mtama wang'ombe chalii
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushakuwa mpiga ramli sasa 🌚
Chombo kilipata misukosuko anga la kwamsisi ila s tukafanikiwa kutua salama mapango ya Amboni
Jr
SM ni sigara za wachumba?Hiki tokea dharula Na #uka Lazimika kutembea usiku hasa mitaa yenye vibaka zingatia yafuatayo:
Beba siraha yyte ndogo kama kisu screw driver zile ndefu (bisi bisi) kwa ajili ya kuwa weka sawa vibaka pale maji ya kizidi unga
Hata kama sio mvutaji wa sigara nunua sigara yako moja sports , embassy , au hata nyota SM za wachumba achana nazo
Wakat unatembea na kukaribia eneo lao washa kisha vuta huku #una katiza eneo hilo na tembea kwa kujiamini % zote bila woga
Waarabu wa pemba ujuana kwa viremba na ukifwatwa na kibaka yyte ujue shida yake ni kugongea sigara na sio kukufanyia wizi
mzee unasema SM ni sigara za warembo??Sio kujaribu Bali Naifanyiaga kazi kila wakati nikiwa katika mazingira kama hayo
mzee tupe maelezo zaudi, natanguliza shukraniMmmh.. .
Nilikaa I.c.u..mda sana tu..
Lakini ajabu..nilikuwa pembeni ya mwili wangu ulipolala...natoka na kuingia wodini...naona ndugu na madoctor...tatizo nilikuwa siwezi kushika mtu au kitu wala kuongea na nikitembea nilikuwa sikanyagi ardhi!
Nikajiuliza sana sana...kwa nini iwe hivi? jibu sikupata!
Kwa ufupi...nilirudi .. katika hali ya kushangaza mno.
Lakini ndugu zangu ... huu ulimwengu
una mapana!
Sent using Jamii Forums mobile app
hivi kwa nini?Unabahati sana mkuu ajari za naoa huwa hazi achi mtu salama kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sitamaliza.. mengi acha tu!
Asante ...Dah pole Sana mamy!...
Yes sir
tusimulie kidogo, nakuombaHata wewe binafsi unaweza usiamini nitachokwambia!
Hii ni uone mwenyewe ..
Lakini mimi mpaka mochuary nimefika!
Nimepokea chupu chupu kuzikwa..
Kama sio udadisi na ubishi wangu na wa baadhi ya watu...ningezikwa najiona!
...kuna mengi !
Mpaka leo natoa sana sadaka ...
Miujiza ipo..
Sent using Jamii Forums mobile app