lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,146
- 33,295
Nikiwa nimejilaza kitandani kwa kupumzika tu,miguu iko chini, yaani nilikaa kitandani halafu nikaamua kujilaza. Nilikaa kwa upande ambao mtu akiwa amelala kawaida huweka au kuelekeza miguu yake, baadae nikajilaza.
Baada ya dakika kadhaa nilimuona nyoka akinitazama, akiwa amesimama upande wa kushoto wa kitanda, tukawa tunatazamana yeye akiwa chini sakafuni. Tulitazamana hatimae nyoka akaamua kushusha kichwa chake na kugeuka na kuondoka zake.
Niliishiwa nguvu, sikuamini kabisa nilichokiona.yaani kitendo cha kuinuka nusu mzima nyoka ndio kilinishangaza, hapo ndipo nilipojua kuwa kumbe nyoka anaweza kupanda kitandani kirahisi tu.
Naamini ni Mungu tu ndio alikuwa mwamuzi wangu siku hiyo.
Unaamini katika Mungu? Wewe ulinusurika vipi, uliokoka vipi? Ulipona vipi? Tuwekee tukio lako tafadhali.
Baada ya dakika kadhaa nilimuona nyoka akinitazama, akiwa amesimama upande wa kushoto wa kitanda, tukawa tunatazamana yeye akiwa chini sakafuni. Tulitazamana hatimae nyoka akaamua kushusha kichwa chake na kugeuka na kuondoka zake.
Niliishiwa nguvu, sikuamini kabisa nilichokiona.yaani kitendo cha kuinuka nusu mzima nyoka ndio kilinishangaza, hapo ndipo nilipojua kuwa kumbe nyoka anaweza kupanda kitandani kirahisi tu.
Naamini ni Mungu tu ndio alikuwa mwamuzi wangu siku hiyo.
Unaamini katika Mungu? Wewe ulinusurika vipi, uliokoka vipi? Ulipona vipi? Tuwekee tukio lako tafadhali.