Deadbody
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 4,276
- 6,585
Kuna wanafunzi hasa waliokuwa wanasoma mbali walikuwa hawarudi nyumbani mpaka wanapomaliza Form 6
Wale wa Kigoma ,mwanza na Ngara huko walikuwa wakiaga nyumbani kwenda form 5 walikuwa hawarudi mpaka wamalize Secondary hahahah Long sana aiseee.Kila shule walikuwepo hawa!
Sisi watoto wa Town ilikuwa kila Ijumaa tunadondoka home hasa sisi wa Gomz tuliosoma PUGU SEC
Karibuni tukumbushie maisha ya secondary
Wale wa Kigoma ,mwanza na Ngara huko walikuwa wakiaga nyumbani kwenda form 5 walikuwa hawarudi mpaka wamalize Secondary hahahah Long sana aiseee.Kila shule walikuwepo hawa!
Sisi watoto wa Town ilikuwa kila Ijumaa tunadondoka home hasa sisi wa Gomz tuliosoma PUGU SEC
Karibuni tukumbushie maisha ya secondary