Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 37,212
- 78,130
..hii ilikua uwezezeshaji kwa vijana kupatiwa mikopo..enzi hizo...na bw Regnald Mengi ndiye alikua msimamizi mkuu.(kumbukumbu zangu)
.
..je we kuna vijana wowote unawajua walioendelea kupitia mikopo ile...?
..natamani kuwajua maana wengi wetu tuliishia kudhulumiana tu...
.
..je we kuna vijana wowote unawajua walioendelea kupitia mikopo ile...?
..natamani kuwajua maana wengi wetu tuliishia kudhulumiana tu...