Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,917
- 24,674
Unakumbuka nini kutoka kwa mama yako?
Nakumbuka siku alipokubali kurudiana na mzee wangu aliyekuwa mlevi kupindukia ili tu aturehe wanae tuliokuwa bado wadogo,(mzee alikwishapagawa maaana hakuwa na kitu tena baada ya kuachana na mama)
Kwa kweli mama yangu alipoitwa kusuluishiwa Ndoa yao iliyovunjika takribani miaka mitatu nyuma alikuwa na msimamo mmoja tu atarudiana nae kwa sababu yetu sisi wanae ila anaomba mzee aache pombe na ni kweli ,
Kwa maneno ya mama na tuliyoyapitia mzee aliacha pombe,aliacha kuvuta sigara na kila kitu ninavyozungumza sasa Baba yangu ni mwanadini mkubwa na Mama yangu kipenzi,
Wapo na maisha yao ya kila siku na Ndoa yao ina furaha.
Nakupenda sana Mama yangu.
CC Zero IQ
Nakumbuka siku alipokubali kurudiana na mzee wangu aliyekuwa mlevi kupindukia ili tu aturehe wanae tuliokuwa bado wadogo,(mzee alikwishapagawa maaana hakuwa na kitu tena baada ya kuachana na mama)
Kwa kweli mama yangu alipoitwa kusuluishiwa Ndoa yao iliyovunjika takribani miaka mitatu nyuma alikuwa na msimamo mmoja tu atarudiana nae kwa sababu yetu sisi wanae ila anaomba mzee aache pombe na ni kweli ,
Kwa maneno ya mama na tuliyoyapitia mzee aliacha pombe,aliacha kuvuta sigara na kila kitu ninavyozungumza sasa Baba yangu ni mwanadini mkubwa na Mama yangu kipenzi,
Wapo na maisha yao ya kila siku na Ndoa yao ina furaha.
Nakupenda sana Mama yangu.
CC Zero IQ