Tosha
Member
- Aug 18, 2011
- 72
- 19
Unakumbuka nini kuhusiana na gazeti la sani mwishoni mwa miaka ya themanini na mwazoni mwa miaka ya tisini?
Nimekumbuka enzi zile za gazeti la SANI, jamaa walikuwa wabunifu sana kwa matoleo yao,unamkumbuka kifimbo cheza na misemo mbalimbali(uchafuzi wa lugha?), kipepe na rungu lake, pimbi a.k.a dr. love yeye anatongoza kila demu! ndumila kuwili na wizi wake,aah wapi lodi lofa na kagari kake na kiko yake kitambi kule!madenge na vituko vyake akiwa na matanati yake !kuna mhusika moja hivi alikuwa chapombe sikumbuki alikuwa anaitwa nani vile?sukununu za babu sani je?wapi mechi ya bush star na born town?aah yale mazoezi kabla ya mechi hoiiii!uwanja wa fujo je? Hadithi za picha mambo ya kina Obi, Mzee Ole, Linda n.k ,wachapishaji walikuwa wabunifu kweli kweli, burudani zilizobebwa na wahusika wa kutengeneza lakini wanashambiiana na jamii!ilikuwa burudani sana kweli natamani ijirudie!
Wachoraji wa enzi zile ni kina John Kaduma(nasikia ni marehemu kweli?), Ibra Radi Washokera ndo ninaowakumbuka kama unakumbka wengine tukumbushane, watunzi wa hadithi pia walikua kina aah km unakumbuka naomba tunikumbushe!
Jamaa walikuwa wakitoa toleo jipya basi wenye nazo wananunua then sisi wengine tunasubiria kuazima km ni shule basi utaona kikundi cha watu kibao wanasoma gazeti moja au km ni mtaani basi ndio kuazimana na ugomvi tele!natamani km nikusanye nakala za matoleo yale ya zamani!
Je wewe mdau unakumbuka nini katika gazeti la SANI?vipi kuhusu wahusika wake?hadithi na vituko je?
Nimekumbuka enzi zile za gazeti la SANI, jamaa walikuwa wabunifu sana kwa matoleo yao,unamkumbuka kifimbo cheza na misemo mbalimbali(uchafuzi wa lugha?), kipepe na rungu lake, pimbi a.k.a dr. love yeye anatongoza kila demu! ndumila kuwili na wizi wake,aah wapi lodi lofa na kagari kake na kiko yake kitambi kule!madenge na vituko vyake akiwa na matanati yake !kuna mhusika moja hivi alikuwa chapombe sikumbuki alikuwa anaitwa nani vile?sukununu za babu sani je?wapi mechi ya bush star na born town?aah yale mazoezi kabla ya mechi hoiiii!uwanja wa fujo je? Hadithi za picha mambo ya kina Obi, Mzee Ole, Linda n.k ,wachapishaji walikuwa wabunifu kweli kweli, burudani zilizobebwa na wahusika wa kutengeneza lakini wanashambiiana na jamii!ilikuwa burudani sana kweli natamani ijirudie!
Wachoraji wa enzi zile ni kina John Kaduma(nasikia ni marehemu kweli?), Ibra Radi Washokera ndo ninaowakumbuka kama unakumbka wengine tukumbushane, watunzi wa hadithi pia walikua kina aah km unakumbuka naomba tunikumbushe!
Jamaa walikuwa wakitoa toleo jipya basi wenye nazo wananunua then sisi wengine tunasubiria kuazima km ni shule basi utaona kikundi cha watu kibao wanasoma gazeti moja au km ni mtaani basi ndio kuazimana na ugomvi tele!natamani km nikusanye nakala za matoleo yale ya zamani!
Je wewe mdau unakumbuka nini katika gazeti la SANI?vipi kuhusu wahusika wake?hadithi na vituko je?