Mzee wa old school
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 505
- 830
Chai bora milele chain bora...... Sijui nini na nini na ubora wakeeeee!! Nk
una stressWanafunzi walioomba kujiunga na Elimu ya Juu wengi wamekosa nafasi.. Halafu unatuletea habari za Chai Jaba
Bila kuwasahau maharamia Zumo na Mzee Ole...! Sijui ana Mzee Ole ana undugu na 7yaLinda Na Obi , Mayuku , Chino
Absolutely absolutely RFA! RFA!
Sisiiii ni maua tulioumbwaa na Munguuu Mwenyeziiii..............kuna kale kawimbo kazamani sn.."waatotoo wasafi moyoniiii.....na mungu mwenyeezii" nikumbusheni wadau..
wanaitwa VARDA ARTS Mkuu..Google Ndiye Rafiki Bora.Sisiiii ni maua tulioumbwaa na Munguuu Mwenyeziiii..............
Pole mkuukuna tangazo moja la condom, lilinifanya nipigwe kofi na bimkubwa sitokuja sahau, lilikuwa jamaa anatembea kwenye mvua anafunika mpenzi wake na koti halaf kuna wimbo fulan mzurii mwishoni nikamalizia "kama kweli unampenda utamlinda!" bwana weee lilekofi nalikumbuka hadi kesho
Usione soo sema nae, kuhusu kusubiri au kutumia ndom