valid statement
JF-Expert Member
- Sep 18, 2011
- 2,851
- 868
Wakati nkiwa sekondari simu za mkononi zilikuwa bado hazijaenea sana,ndo kwanza zilikuwa zinaingia nchini!Njia kuu ya kukutana na msichana wako ilikuwa kwa kuandikiana barua,au mnaambiana mkutane wapi.
Basi,nlikuwaga na msichana wangu wa form3 mtaani, Siku moja nkiwa likizo kitaa tukaaidiana tukutane,akanambia nimpitie kwao sababu baba na mama yake na mdogo wake watakuwa wamesafiri.
siku iyo nlikuwa naenda ku*** naye,si unajua.nkafika nkagonga geti....lahaulaaa!kumbe mzee wake aliairisha safari.na hakuweza kunambia mana kulikuwa hamna simu kama sasa ivi.nkamsalimia,mdingi akaniuliza unasemaje?nkapiga akili nkamwambia mama kanituma kuulizia kuku(alikuwa anafuga kuku wa kisasa).akasema zipo chache,kakutuma ngapi?alivosema chache,mi nkasema nkitaja nyingi atasema hana.nkasema anataka kuku 20.akasema anabahati kweli wapo 20net.nkamwambia ngoja nkwambie mama basi.akasema mamako hanaga shida mpelekee ataniletea hela.
Wadau.nlibebeshwa kuku 20,nkaziuza kwa bei ya hasara kwa wakaanga chips.
...unakumbuka kisa gani kilichokutokea katika mapenzi ya sekondari?
Basi,nlikuwaga na msichana wangu wa form3 mtaani, Siku moja nkiwa likizo kitaa tukaaidiana tukutane,akanambia nimpitie kwao sababu baba na mama yake na mdogo wake watakuwa wamesafiri.
siku iyo nlikuwa naenda ku*** naye,si unajua.nkafika nkagonga geti....lahaulaaa!kumbe mzee wake aliairisha safari.na hakuweza kunambia mana kulikuwa hamna simu kama sasa ivi.nkamsalimia,mdingi akaniuliza unasemaje?nkapiga akili nkamwambia mama kanituma kuulizia kuku(alikuwa anafuga kuku wa kisasa).akasema zipo chache,kakutuma ngapi?alivosema chache,mi nkasema nkitaja nyingi atasema hana.nkasema anataka kuku 20.akasema anabahati kweli wapo 20net.nkamwambia ngoja nkwambie mama basi.akasema mamako hanaga shida mpelekee ataniletea hela.
Wadau.nlibebeshwa kuku 20,nkaziuza kwa bei ya hasara kwa wakaanga chips.
...unakumbuka kisa gani kilichokutokea katika mapenzi ya sekondari?