dah mkuu!
umenikumbusha kipindi nasoma! basi,kwanza nikiwa dalasa la nne(1983) kunarafiki yangu alimtongoza binti, wakaelewana akampa na pesa (505) basi bwana binti akaanza kuzingua jamaa akaandika barua ya vitisho kwa binti akisema "sofi kama hutaki kunipa ile yekudu(akimaanisha nyekundu) rudisha mia tano na tano yangu" halafu jamaa akaweka kwenye daltari la binti la hisabati! ticha wakati anasahihisha madaftari akaiona jamaa alikula njiti(viboko) mpaka akakojoa make ilikuwa msitarini jioni!
dah ila kwasasa jamaa alishaona na anamaisha poa na yule binti ni nesi!
kheeee mie choki kabisaaa, yaani darasa la nne mlishaanza kuhongana pesa, hiyo mwaka 1983 shs 505 ulikuwa ni mshahara wa mtu tena mwenye cheo cha kati! loh bila shaka huyo rafikio kwao walikuwa matajiri sana. miaka hiyo mi nilikuwa secondary schaool na niliwahi kusafiri toka Dar kwenda Iringa na basi la KWACHA kwa shs. 85/- mamangu alitupa kila mmoja shs 100 tulikata tiketi na pesa ikabaki ya kulakula njiani !