Tamaduni zetu za kiafrika watoto walikuwa wakizaliwa wanakuwa na majina ya kurithi toka kwa babu zao au bibi zao na hili linakuwa wakati mtoto akiwa mdogo sana kwa wa kristo kabla hajabatizwa mtoto anaitwa jina la hawo mababu, watu wengine ukuwa bado wanaitwa hayo majina tamaduni zimebadilika kwa sasa umagharibi umeingia kwa kasi siku hizi watoto majina yote ya kizungu watu mpaka majina ya ukoo siku hizi ya kizungu neno.
Je wewe unakumbuka ulikuwa unaitwa nani ukiwa mtoto au mskaji wako tuyataje hayo majina mengine ni burudani kwa kweli hata kuyakumbuka!
Je wewe unakumbuka ulikuwa unaitwa nani ukiwa mtoto au mskaji wako tuyataje hayo majina mengine ni burudani kwa kweli hata kuyakumbuka!