Unakumbuka majina yako ya utotoni!

Dawson

Member
Mar 6, 2009
43
3
Tamaduni zetu za kiafrika watoto walikuwa wakizaliwa wanakuwa na majina ya kurithi toka kwa babu zao au bibi zao na hili linakuwa wakati mtoto akiwa mdogo sana kwa wa kristo kabla hajabatizwa mtoto anaitwa jina la hawo mababu, watu wengine ukuwa bado wanaitwa hayo majina tamaduni zimebadilika kwa sasa umagharibi umeingia kwa kasi siku hizi watoto majina yote ya kizungu watu mpaka majina ya ukoo siku hizi ya kizungu neno.

Je wewe unakumbuka ulikuwa unaitwa nani ukiwa mtoto au mskaji wako tuyataje hayo majina mengine ni burudani kwa kweli hata kuyakumbuka!
 
Tamaduni zetu za kiafrika watoto walikuwa wakizaliwa wanakuwa na majina ya kurithi toka kwa babu zao au bibi zao na hili linakuwa wakati mtoto akiwa mdogo sana kwa wa kristo kabla hajabatizwa mtoto anaitwa jina la hawo mababu, watu wengine ukuwa bado wanaitwa hayo majina tamaduni zimebadilika kwa sasa umagharibi umeingia kwa kasi siku hizi watoto majina yote ya kizungu watu mpaka majina ya ukoo siku hizi ya kizungu neno.

Je wewe unakumbuka ulikuwa unaitwa nani ukiwa mtoto au mskaji wako tuyataje hayo majina mengine ni burudani kwa kweli hata kuyakumbuka!

Kwani majina hayo huwa yanabadilika hata ukipata ya kizungu??
 
Tamaduni zetu za kiafrika watoto walikuwa wakizaliwa wanakuwa na majina ya kurithi toka kwa babu zao au bibi zao na hili linakuwa wakati mtoto akiwa mdogo sana kwa wa kristo kabla hajabatizwa mtoto anaitwa jina la hawo mababu, watu wengine ukuwa bado wanaitwa hayo majina tamaduni zimebadilika kwa sasa umagharibi umeingia kwa kasi siku hizi watoto majina yote ya kizungu watu mpaka majina ya ukoo siku hizi ya kizungu neno.

Je wewe unakumbuka ulikuwa unaitwa nani ukiwa mtoto au mskaji wako tuyataje hayo majina mengine ni burudani kwa kweli hata kuyakumbuka!

Majina ya kizungu/kiarabu/kiyahudi ni kasumba tu..........pamoja na wewe kutukumbusha hilo bado inaonekana unaendekeza hiyo kasumba...cheki jina lako Dawson..wale wale
 
Tamaduni zetu za kiafrika watoto walikuwa wakizaliwa wanakuwa na majina ya kurithi toka kwa babu zao au bibi zao na hili linakuwa wakati mtoto akiwa mdogo sana kwa wa kristo kabla hajabatizwa mtoto anaitwa jina la hawo mababu, watu wengine ukuwa bado wanaitwa hayo majina tamaduni zimebadilika kwa sasa umagharibi umeingia kwa kasi siku hizi watoto majina yote ya kizungu watu mpaka majina ya ukoo siku hizi ya kizungu neno.

Je wewe unakumbuka ulikuwa unaitwa nani ukiwa mtoto au mskaji wako tuyataje hayo majina mengine ni burudani kwa kweli hata kuyakumbuka!


jina langu la utotoni ni Andusamile maana yake Mungu amenikazia macho,
nlipoanza shule nkalilia nibadilishwe jina,
nikaandikwa kwa jina la Kingsley.
Sasa najuta, natamani nilirudie jina langu la awali.
 
Ni kweli wakati umefika sasa tuanze kutumia majina ya kiasili ya mababu badala ya kujibandika majina ya kizungu, kv Dawson
 
Back
Top Bottom