kilamba lamba
JF-Expert Member
- May 27, 2020
- 367
- 679
Habarini wana jamvi MMU, natumai mko poa kabisa.
Hivi in kauli gani chafu na kejeli unayoikumbuka kutoka kwa Ex wako kiasi kwamba ukiifikiria unajisemea mwenyewe kimoyomoyo "hii ng'ombe ikirudi nitahakikisha inapitia maumivu yasiyo ya Dunia hii.
NB: Kuachana siyo ugomvi ila wengine wanatufanya tuonekane wabaya tu
Hivi in kauli gani chafu na kejeli unayoikumbuka kutoka kwa Ex wako kiasi kwamba ukiifikiria unajisemea mwenyewe kimoyomoyo "hii ng'ombe ikirudi nitahakikisha inapitia maumivu yasiyo ya Dunia hii.
NB: Kuachana siyo ugomvi ila wengine wanatufanya tuonekane wabaya tu