INTERGRITY
JF-Expert Member
- Jan 19, 2021
- 394
- 1,467
Hahaahha, nimelipa na nimeamua kumpokea bwana we mwokozi wa maisha yanguFaza una matukio!! Fain umelipa!?
Hahaahha, nimelipa na nimeamua kumpokea bwana we mwokozi wa maisha yanguFaza una matukio!! Fain umelipa!?
Hahahaha, mkuu you look very sensitive to stupid stuffs, hahahahahOooh nimekusoma ndio yule ulieenda nae babati akiwa anakunywa juicy huku anawaangalia watu wengine kama hawana maisha
Arusha bossMkoa gani Boss
Daah, aisee, kuna takataka iliniambiaga nimeamua tuu kuwa single kwa sasa hadi baadae so niachane nae and i had to promise her that i will be okey, after a month ananitafuta ananiambia eti ameamua arudi kwenye mahusiano anaomba nimsamehe turudiane, nilimtafutia wayahudi watano wamfire sema pesa ilipelea hawakuja, makalio yake huyu mbwa wa kiiraqw
Oooh nimekusoma ndio yule ulieenda nae babati akiwa anakunywa juicy huku anawaangalia watu wengine kama hawana maisha
Aiseee ningemwambia tuma nusu ya hela yote kama kweli wewe mwanamke"Hivi hiyo laki 1 yako unaona nayo ni hela? haya hebu niambie ni shs ngapi umenipa tangu tuanze mahusiano nikulipe".
We jamaa unameza madesa humu
Eti kama hawana maisha
Huwa napenda kufananisha uhusiano na business life cycle kama kitu ambacho huwa na stages tofauti. Introduction, growth, maturity and decline stage
Katika mahusiano kunakuwaga na point ikifika mahusiano huwa tena sio raha bali karaha tu na hapa ndipo hekima hutakiwa ku kick in. Hii ni kutokana na mmoja kuacha kuweka efforts to make it work au kupuuza hisia za mwenzie.
Hali hii huambatana na kauli za kukaraisha nafsi ambazo mmojawapo huzitoa just to make the situation worse. Lets share zile kauli zilizowahi kuchafua nafsi zetu! Nakumbuka hizi:
"We mbona hauko smart kama vijana wenzio"
"Una gubu sana we mwanaume hadi unaboa"
"Sa utapigia wanaume wenzio simu hadi lini?"
"Yani mwanaume umezubaa tu upo upo tu kama lizoba"
"Sasa kama mtu humuamini unakuwa nae wa nini..si umuache tu!"
Mi niliambiwa una kadudu kembamba kana mharibia figo zake.Tulioambiwa tuna small dicks tunaruhusiwa kuweka comments hapa?
Haha yule mjeiefu bado unayo?Mie hata uniambiaje sikuachi
Nakung'ang'ania
Mapango hayoMi niliambiwa una kadudu kembamba kana mharibia figo zake.
Nimekusoma mahali nikawa nacheka tuHahahaha, mkuu you look very sensitive to stupid stuffs, hahahahah
Aliua sana mwamba
AiseeMi niliambiwa una kadudu kembamba kana mharibia figo zake.
He he....apo kwenye swala la kuweka nguo zake kwenye kamba ulicheza kama gauchoBaada ya miezi miwili ya mahusiano "Naona vyombo ulivyotumia vinanisubiri mm nivioshe"
Nikajidai sijasikia.
Wiki mbili baadae, "hizo nguo nje mpaka mm ndo nikaanue".
Nikaenda anua. Baada ya kunyanduana weekend nzima j3 alipotoka nikaita fundi akabadilisha vitasa vya mlango. Nguo zake zilizokuepo nikazitundika kwenye kamba nje then "nikasafiri" zaidi ya wiki nikabadili na namba ya simu.
Tulionana baada ya miaka miwili, ndo akaniambia tangu aanze kudate mahusiano yake hayajawahi dumu zaidi ya miezi sita. Nikamweleza madhaifu yake, akawa anabishabisha pale ila akaja kuelewa. Akanipa na 'zawadi' kwa kumfungua macho.