Unakumbuka haka Kagari!!

MaxShimba

JF-Expert Member
Apr 11, 2008
35,772
4,054
44930_380993181989238_62374272_n.jpg
 
Umenikumbusha mbali sana kaka,bila ya hako kagari mama alikuwa hanitumi dukani na hata nisipokachukua lazima aniulize mbona hujachukua gari lako.Na alijua kabisa nikikachukua ni mbio kwenda na kurudi,ila nisipokachukua muda nitakaotumia kwenda na kurudi ni mara tatu..
 
Umenikumbusha mbali sana kaka,bila ya hako kagari mama alikuwa hanitumi dukani na hata nisipokachukua lazima aniulize mbona hujachukua gari lako.Na alijua kabisa nikikachukua ni mbio kwenda na kurudi,ila nisipokachukua muda nitakaotumia kwenda na kurudi ni mara tatu..

hahahaha, safi sana aisee. Afu hii ilikuwaga gari ama pikipiki? Kakangu (he was a cowboy, RIP) alikuwa anavaa helmet sufuria. Lol
 
DAh long time sana, ubunifu 100% siku hizi sijaona watoto wakitengeneza hizi issue
 
Nilikua natengeza hiyo makitu mtaa mzima hakuna kama mimi, nilitamani sana kuwa Injinia....
Magari mengi nilikua nauzia wenzangu...
I was damn good lol...
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom