Unakubaliana nayo vipi au unapingana nayo vipi hii?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,516
108,791
.....Kwamba sababu Kubwa ya Wazungu wengi Kuzaliwa na ' Akili ' au kuwa na ' Akili ' nyingi kunatokana na ile tabia yao kuwabeba Watoto Wao kwa mbele ( Vifuani ) huku wakiwa wanawaona tofauti na Wanawake wengi wa Kiafrika ambao wengi Wao Watoto huwa wanabeba wakiwa nyuma ( Migongoni ) hali ambayo inawafanya wengi kutokuwa na ' Akili '.

Wakaenda mbele zaidi na kusema kwamba Kimazingira Mtoto mdogo akibebwa kwa mbele ( Kifuani ) na Mama yake ' Ubongo ' wake huwa unakuwa imara kwa haraka na kujengeka upesi tofauti na Mtoto ambaye Mama yake huwa anambeba kwa nyuma ( Mgongoni ) ambapo ' Ubongo ' wake huwa unachelewa Kukamata mambo kwa haraka na hatimaye kupelekea wengi Wao kuwa ama ' Mangumbaru ' au ' Mapopoma ' wa Kutukuka.

Naomba kuanzia leo hii Wanawake wote wa Kiafrika wakiwazaa Watoto Wao wasiwe wanawabeba kwa nyuma ( Migongoni ) na badala yake wawe wanawabeba kwa mbele ( Vifuani ) kama ambavyo Wazungu wanafanya ili nasi tuweze kupata Watoto / Vizazi vyenye ' Akili ' kubwa ( Vipanga ) tofauti na ambavyo wanafanya sasa.

Shikamooni Wazungu wote duniani!

Nawasilisha.
 
.....Kwamba sababu Kubwa ya Wazungu wengi Kuzaliwa na ' Akili ' au kuwa na ' Akili ' nyingi kunatokana na ile tabia yao kuwabeba Watoto Wao kwa mbele ( Vifuani ) huku wakiwa wanawaona tofauti na Wanawake wengi wa Kiafrika ambao wengi Wao Watoto huwa wanabeba wakiwa nyuma ( Migongoni ) hali ambayo inawafanya wengi kutokuwa na ' Akili '.

Wakaenda mbele zaidi na kusema kwamba Kimazingira Mtoto mdogo akibebwa kwa mbele ( Kifuani ) na Mama yake ' Ubongo ' wake huwa unakuwa imara kwa haraka na kujengeka upesi tofauti na Mtoto ambaye Mama yake huwa anambeba kwa nyuma ( Mgongoni ) ambapo ' Ubongo ' wake huwa unachelewa Kukamata mambo kwa haraka na hatimaye kupelekea wengi Wao kuwa ama ' Mangumbaru ' au ' Mapopoma ' wa Kutukuka.

Naomba kuanzia leo hii Wanawake wote wa Kiafrika wakiwazaa Watoto Wao wasiwe wanawabeba kwa nyuma ( Migongoni ) na badala yake wawe wanawabeba kwa mbele ( Vifuani ) kama ambavyo Wazungu wanafanya ili nasi tuweze kupata Watoto / Vizazi vyenye ' Akili ' kubwa ( Vipanga ) tofauti na ambavyo wanafanya sasa.

Shikamooni Wazungu wote duniani!

Nawasilisha.
Ngozi yetu nyeusi imesheheni Melanin nyingi zaidi ya ilivyo kwa wazungu.

Sasa Google sifa za melanin kisha urudi hapa kuchangia hoja.

Jiwe ndio linatupaka choo mablack!!
 
Kubebwa kwa mbele kumewafanya wawe na akili za ubinafsi wa kujiweka mbele haswa katika kutamani rasilimali za wengine.
 
.....Kwamba sababu Kubwa ya Wazungu wengi Kuzaliwa na ' Akili ' au kuwa na ' Akili ' nyingi kunatokana na ile tabia yao kuwabeba Watoto Wao kwa mbele ( Vifuani ) huku wakiwa wanawaona tofauti na Wanawake wengi wa Kiafrika ambao wengi Wao Watoto huwa wanabeba wakiwa nyuma ( Migongoni ) hali ambayo inawafanya wengi kutokuwa na ' Akili '.

Wakaenda mbele zaidi na kusema kwamba Kimazingira Mtoto mdogo akibebwa kwa mbele ( Kifuani ) na Mama yake ' Ubongo ' wake huwa unakuwa imara kwa haraka na kujengeka upesi tofauti na Mtoto ambaye Mama yake huwa anambeba kwa nyuma ( Mgongoni ) ambapo ' Ubongo ' wake huwa unachelewa Kukamata mambo kwa haraka na hatimaye kupelekea wengi Wao kuwa ama ' Mangumbaru ' au ' Mapopoma ' wa Kutukuka.

Naomba kuanzia leo hii Wanawake wote wa Kiafrika wakiwazaa Watoto Wao wasiwe wanawabeba kwa nyuma ( Migongoni ) na badala yake wawe wanawabeba kwa mbele ( Vifuani ) kama ambavyo Wazungu wanafanya ili nasi tuweze kupata Watoto / Vizazi vyenye ' Akili ' kubwa ( Vipanga ) tofauti na ambavyo wanafanya sasa.

Shikamooni Wazungu wote duniani!

Nawasilisha.
Habari za kusadikika hizi, sioni kama kuna uhalisia ndani yake, hivi hao wazungu weusi wanao ishi ulaya/America mbona hawana hakili kama tulivo ndugu zao sisi hapa wabongo ilihali wanaiga life style kutokea kwa jitani zao wa karibu kabisa wazungu..


SHORT cut is wrong cut

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom