Rutunga M
JF-Expert Member
- Mar 16, 2009
- 1,769
- 1,382
Nimesoma tahariri ya gazeti moja 'local' la huko kwa wenzangu nshomile kupitia blog yao lakini sikubaliani na maoni hayo.
mosi,gazeti hilo lipo kwa maslahi ya kumlinda kagasheki,kamara na masilingi na baada ya baadhi yao kungolewa wameanza kuwaandama akina mama Asumpta,Ana Tibaijuka
Isome hapa
gazeti lao linaitwa Malengo Yetu
mosi,gazeti hilo lipo kwa maslahi ya kumlinda kagasheki,kamara na masilingi na baada ya baadhi yao kungolewa wameanza kuwaandama akina mama Asumpta,Ana Tibaijuka
Isome hapa
gazeti lao linaitwa Malengo Yetu