kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,991
- 17,888
Kukosoa safari za Rais kwa kusema anasafiri sana ni upuuzi wa kiwango cha juu
Unajua msituletee legacy za ajabu ajabu hapa
Safari za nje ni muhimu sana, Binafsi sioni shida ya rais kusafiri madhali ni ziara za kikazi,
Upuuzi ni pale mtu na akili zake unapopinga safari za rais Samia
Japo sikubaliani na mama kuhusu mambo mengi hili la kupinga safari Big No, mwacheni asafiri tena huko atajifunza na kuelewa umuhimu wa demokrasia tu
Kipindi cha mwendazake mlipinga sana alivyokua kajifungia na hasafiri nyie nyie mlokua mnalalamika mwendazake kwanini hasafiri mkimtaka asafiri ndo nyie nyie mnaolalamika kuhusu samia kusafiri
Totoleeni unafiki wenu hapa,Mnatuletea mambo ya mwendazake ya kujifungia na kutosafiri?Kwahiyo mnataka mama afuate nyayo za yule jamaa?Big No hakuna kufuata legacy za hovyo hovyo hapa
Mama na mwendazake sio kitu kimoja na haitokaa itokee Unguja na Chato iwe kitu kimoja?Big No....
Sipendagi ujinga mimi mwacheni mama asafiri, msituletee legacy za ajabu ajabu hapa
Unajua msituletee legacy za ajabu ajabu hapa
Safari za nje ni muhimu sana, Binafsi sioni shida ya rais kusafiri madhali ni ziara za kikazi,
Upuuzi ni pale mtu na akili zake unapopinga safari za rais Samia
Japo sikubaliani na mama kuhusu mambo mengi hili la kupinga safari Big No, mwacheni asafiri tena huko atajifunza na kuelewa umuhimu wa demokrasia tu
Kipindi cha mwendazake mlipinga sana alivyokua kajifungia na hasafiri nyie nyie mlokua mnalalamika mwendazake kwanini hasafiri mkimtaka asafiri ndo nyie nyie mnaolalamika kuhusu samia kusafiri
Totoleeni unafiki wenu hapa,Mnatuletea mambo ya mwendazake ya kujifungia na kutosafiri?Kwahiyo mnataka mama afuate nyayo za yule jamaa?Big No hakuna kufuata legacy za hovyo hovyo hapa
Mama na mwendazake sio kitu kimoja na haitokaa itokee Unguja na Chato iwe kitu kimoja?Big No....
Sipendagi ujinga mimi mwacheni mama asafiri, msituletee legacy za ajabu ajabu hapa