Unakosa ajira kwa sababu fani yako ni 'irrelevant'

Equation x

JF-Expert Member
Sep 3, 2017
29,323
40,172
Wengi huwa tunasoma fani rahisi rahisi ambazo hazituachii ujuzi ambao ni technical, ambao utatusaidia kufanya kitu fulani kinachoonekana.

Mfano, kijana amehitimu mafunzo yake ya chuo, na ukimuuliza unaweza kufanya kitu gani unique, anakuwa hawezi kujibu, kwa sababu fani aliyosomea ni ya kawaida, ambayo ata mwanafunzi wa darasa la saba anaweza kuelekezwa siku 7, na akafanya vizuri tu.

Wengine wamesoma masomo technical, lakini katika utendaji hakuna kitu anachoweza kufanya. Mfano, mwingine atakuambia ni mtaalamu wa IT, ila kiutendaji anajua namna ya kuunganisha waya za kompyuta tu.

Kwa mazingira hayo, tunakosa ajira kwa sababu fani zetu ni irrelevant
 
Elimu ya kibongo miyeyusho sana, si ndio hii inatufundisha kwamba nyani wa zamani ndio binadamu wa sasa?

Sasa huyu binadamu binamu yake nyani ataweza kugundua nini zaidi ya kyepe yai?

Elimu yetu inatakiwa kwanza itujenge kwenye kujiamini na kujithamini, kisha elimu yetu itupeleke kwenye mapinduzi ya kiteknolojia, tugundue mashine zetu wenyewe zitusaidie.

Halafu pia kuna Chama Cha Mazezeta, wameaminisha na wanafundisha watu eti kimulimuli kinaleta amani kwenye vita. Hii nchi ina upumbavu wa kila aina

Amini usiamini Tanzania hakuna kiwanda cha kutengeneza nyembe
 
Wengi huwa tunasoma fani rahisi rahisi ambazo hazituachii ujuzi ambao ni technical, ambao utatusaidia kufanya kitu fulani kinachoonekana.

Mfano, kijana amehitimu mafunzo yake ya chuo, na ukimuuliza unaweza kufanya kitu gani unique, anakuwa hawezi kujibu, kwa sababu fani aliyosomea ni ya kawaida, ambayo ata mwanafunzi wa darasa la saba anaweza kuelekezwa siku 7, na akafanya vizuri tu.

Wengine wamesoma masomo technical, lakini katika utendaji hakuna kitu anachoweza kufanya. Mfano, mwingine atakuambia ni mtaalamu wa IT, ila kiutendaji anajua namna ya kuunganisha waya za kompyuta tu.

Kwa mazingira hayo, tunakosa ajira kwa sababu fani zetu ni irrelevant
Sasa tufanyaje mkuu? Wakulaumiwa hapa ni Putin na Magufuli.
 
Wengi huwa tunasoma fani rahisi rahisi ambazo hazituachii ujuzi ambao ni technical, ambao utatusaidia kufanya kitu fulani kinachoonekana.

Mfano, kijana amehitimu mafunzo yake ya chuo, na ukimuuliza unaweza kufanya kitu gani unique, anakuwa hawezi kujibu, kwa sababu fani aliyosomea ni ya kawaida, ambayo ata mwanafunzi wa darasa la saba anaweza kuelekezwa siku 7, na akafanya vizuri tu.

Wengine wamesoma masomo technical, lakini katika utendaji hakuna kitu anachoweza kufanya. Mfano, mwingine atakuambia ni mtaalamu wa IT, ila kiutendaji anajua namna ya kuunganisha waya za kompyuta tu.

Kwa mazingira hayo, tunakosa ajira kwa sababu fani zetu ni irrelevant
Fani zote ni Relevant tatizo tu hazijarasimishwa na serikali au kutengenezewa fursa. Mfano mtu kasoma saikolojia ila unakuta watu wanakejeli sio kozi "technical" ila hawajui demand iliyopo kwenye Jamii. Kwa nchi za wenzetu unakuta Kila shule inatakiwa kuweka psychologist Ili kuangalia mental well being ya wanafunzi n.k. au unakuta Kila biashara inapoanza inatakiwa ku-consult Competition Law "experts" so unakuta inawajengea fursa hao waliosoma Hilo eneo.

So nadhani ni kuweka link kati ya demand na supply ya Kila kozi ndio itatengeneza relevance ila hakuna kozi ya maana kuliko zingine ni mentality mbovu hiyo.
 
Fani zote ni Relevant tatizo tu hazijarasimishwa na serikali au kutengenezewa fursa. Mfano mtu kasoma saikolojia ila unakuta watu wanakejeli sio kozi "technical" ila hawajui demand iliyopo kwenye Jamii. Kwa nchi za wenzetu unakuta Kila shule inatakiwa kuweka psychologist Ili kuangalia mental well being ya wanafunzi n.k. au unakuta Kila biashara inapoanza inatakiwa ku-consult Competition Law "experts" so unakuta inawajengea fursa hao waliosoma Hilo eneo.

So nadhani ni kuweka link kati ya demand na supply ya Kila kozi ndio itatengeneza relevance ila hakuna kozi ya maana kuliko zingine ni mentality mbovu hiyo.
Nakubaliana na wewe; mfano, jino likikuuma sana mpaka shavu kuvimba, unafanyaje?
 
Tatizo sio kulaumu ni nini kifanyike? Ili kuondoa hilo tatizo
Suala la ajira, linaanzia kwa mtu binafsi; kinachotakiwa kufanyika ni kutafuta fani itakayo kuachia ujuzi, wa kutenda kitu kinacho onekana; ndicho kitakacho kutangaza.
 
Elimu ya kibongo miyeyusho sana, si ndio hii inatufundisha kwamba nyani wa zamani ndio binadamu wa sasa?

Sasa huyu binadamu binamu yake nyani ataweza kugundua nini zaidi ya kyepe yai?

Elimu yetu inatakiwa kwanza itujenge kwenye kujiamini na kujithamini, kisha elimu yetu itupeleke kwenye mapinduzi ya kiteknolojia, tugundue mashine zetu wenyewe zitusaidie.

Amini usiamini Tanzania hakuna kiwanda cha kutengeneza nyembe
Ni kweli kuna tatizo, ila katika juhudi za mtu binafsi ni muhimu sana
 
Wapo wengi tu mkuu
Huo ni ukweli.

Kama unabisha. Jaribu kumtafuta mtu anayejua kutengeneza katuni kama tom and jerry ama zile za ubongo kids halafu hana ajira.

Ama nifafutie mtu anaejua kutengeneza apps zilizonyooka halafu hana ajira
Wapo wengi tu mkuu.issue sema watu wanakosa connection na kuamua walau kujiajiri
 
Back
Top Bottom