Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,760
- 40,970
Hi there will be a meeting on 11/12/2010 in Dar at KIMARA RESORT CLUB, which will tackle on political issues, constitutional issues, communal issues and civic and human rights issues. Hence, this meeting wiil begin at 2.00p.m. in the afternoon. For details if you need to attend contact Abraham Mwambuja on TELNO:-+255-656-382537.
NB: Tafadhali usijiendee tu bila kuwasiliana na huyu ndugu ili angalau kujua uwezo wa mahali penyewe. Ni vizuri kuhakikishia unatoa taarifa kama utahuhudhuria ifikapo Jumatano ili ionekana haja ya kufanyia hapo au kuhamisha kama idadi ya watu itakuwa ni wengi kuliko.
Mkutano huu umeandaliwa na hao jamaa hapo juu; na maelezo yote na ajenda n.k ni juu yao. Mimi nimewaletea ujumbe tu maana watu wengine wameanza kuniuliza kama ndio nimeuandaa au vipi. MM
NB: Tafadhali usijiendee tu bila kuwasiliana na huyu ndugu ili angalau kujua uwezo wa mahali penyewe. Ni vizuri kuhakikishia unatoa taarifa kama utahuhudhuria ifikapo Jumatano ili ionekana haja ya kufanyia hapo au kuhamisha kama idadi ya watu itakuwa ni wengi kuliko.
Mkutano huu umeandaliwa na hao jamaa hapo juu; na maelezo yote na ajenda n.k ni juu yao. Mimi nimewaletea ujumbe tu maana watu wengine wameanza kuniuliza kama ndio nimeuandaa au vipi. MM