Hii itakuwa safari ya 318 nje ya nchi, kwa wastani wa siku tatu kila safari, ni sawa na siku 954 tangu awe rais. hii itakuwa na sawa na miaka mitatu nje ya nchi!!!!!!
Madini na Suti....hahaha, mazungumzo ya juha na Bush siku zote ni kuhusu barter trade yao ya madini kwa vyandarua.
<br />Mhh..sasa wataongea nin na bush, wakati ye sio rais tena?? Au kuna kitu alisahau kwenye ile ziara yake ya siku 4.!
PEACE COPRS SI MDUDU TAFADHALIPeace Corps ]
NDO MDUDU GANI? ANY WAY, KILA MTU ANAJUA TABIA YA RAISI WAKE, ANAPENDA KUFANYA UTALII NA KWENDA KUOMBAOMBA. SI AJABU AMEOMBA AWE MGENI RASMI NA AMELIPIA OMBI HILO. MR. MISIFA YULE
The Peace Corps traces its roots and mission to 1960, when then Senator John F. Kennedy*challenged students at the University of Michigan*to serve their country in the cause of peace by living and working in developing countries. From that inspiration grew an agency of the federal government devoted to world peace and friendship.
Since that time, 200,000+ Peace Corps Volunteers have served in 139 host countries to work on issues ranging from AIDS education to information technology and environmental preservation.
Today's Peace Corps is more vital than ever, working in emerging and essential areas such as information technology and business development, and contributing to the President's Emergency Plan for AIDS Relief. Peace Corps Volunteers continue to help countless individuals who want to build a better life for themselves, their children, and their communities.
There's quite a bit to learn about the Peace Corpsexplore the following sections to get to know its mission, history, and current endeavors in depth.
My Take:-
Ni heshima kubwa kwa Taifa letu changa na Rais wetu kuheshimiwa na kupewa fursa hii.
Mkuu umesema ni heshima kubwa kwa mkulu kuwa pale ina maana mambo haya yatapatiwa ufumbuzi kwa yeye kuwepo huko ?
Umeme , maji safi,vibaka kuongezeka ,wamama kujigungua njiani wakiwa wanatafuta zahanati,kuwabeba wanyama wetu kwemda Arabuni,kufisadi Nchi,posho kufutwa,Rushwa kupigwa marufuku,gharama za maisha kushuka, usawa mbele ya sheria ,matumizi mabaya ya pesa na madaraka nk nk nk nk ?
hahahahaa!!
Hivi mnawajua Peace Corps au??
Wee MAKAH, read my signature!!!
Na akimaliza anaelekea Canada. Na mwezi Oktoba atatinga Australia. Naona mwaka huu utakuwa na furaha sana.
The Peace Corps traces its roots and mission to 1960, when then Senator John F. Kennedy*challenged students at the University of Michigan*to serve their country in the cause of peace by living and working in developing countries. From that inspiration grew an agency of the federal government devoted to world peace and friendship.
Since that time, 200,000+ Peace Corps Volunteers have served in 139 host countries to work on issues ranging from AIDS education to information technology and environmental preservation.
Today's Peace Corps is more vital than ever, working in emerging and essential areas such as information technology and business development, and contributing to the President's Emergency Plan for AIDS Relief. Peace Corps Volunteers continue to help countless individuals who want to build a better life for themselves, their children, and their communities.
There's quite a bit to learn about the Peace Corpsexplore the following sections to get to know its mission, history, and current endeavors in depth.
My Take:-
Ni heshima kubwa kwa Taifa letu changa na Rais wetu kuheshimiwa na kupewa fursa hii.
Sio heshima ni dharau!
Hutosikia kiongozi yoyote high profile kama Sarkhozy ama Cameroon akialikwa upuuzi huo. What's next? Utasikia trip nyingine amealikwa kwenye sherehe za ufunguzi wa Verizon Wireless store pale Silversprings!!
Heshima mbele sana Mkuu wangu Jasusi.
Mkuu hivi chuki zako binafsi kwa mkuu zitaisha lini? Hapa kiongozi anatekeleza kazi zake kama kiongozi wa inchi, tumwache kiongozi afanye kazi yake.
Mkuu nakushauri 2015 urudi Tanzania ukachukue form na wewe ugombee urais, umri unazidi kusogea.
Just visited their site: "http://www.peacecorps.gov/index.cfm?shell=about.fiftieth.events" Peace Corps 50th Anniversary Events | 50th Anniversary Events | 50th Anniversary | About Us | Peace Corps
umekabwa na nini unashindwa kuongea, au umeshikwa pabaya, analo Mzee wa suti za kuhongwa, mangungo mbadilisha dhahabu kwa suti.Craaaaaaaaaaaaaaaa