Mtu mpaka anazeeka anawatoto 7 wamepanga
a
Watoto wanakuja kuwa vibaka kisa kukosa mwelekeo
wahindi ndio wana akili. wanaishi nyumba za kupanga maisha yao yote. mimi ninaishi nyumba niliyojenga mwenyewe. Watoto wanatakiwa wakajenge au wapangishe. Watu wa mataifa yaliyendelea zaidi ya robotatu wanaishi ktk nyumba za kupanga. Tofauti wote wazee kwa vijana wanalipwa pesa kima cha chini kuweza kulipia pango na kupata chakula pamoja na matibabu. Wana BIMA.Kuna wakati itafikia hayo hayo na huku