Sasa ulitaka tukusaidiaje....Mwanamke akimwacha mwanaume, baadaye akajua amepata binti mkali(mzuri) zaidi yake anaumia .
MzuriMkali kivipi?
Mzuri
Mzuri
Hiyo ipo hata kwako wewe mleta uzi,yaani ukinikimbia halafu nikaokota demu pale kona baa na huyo demu akawa anaishi na mimi,basi nyie wanawake mlivyo na akili za wehu,utajikuta unamchukia huyo demu kiasi uko tayari kumuua.Mwanamke akimwacha mwanaume, baadaye akajua amepata binti mkali(mzuri) zaidi yake anaumia .
Sijui kwa wengine lakini mie hainiumi as long as moyo wangu umeshamshiba na vituko vyake,ampate mkali kupindukiaMwanamke akimwacha mwanaume, baadaye akajua amepata binti mkali(mzuri) zaidi yake anaumia .
KUMBE MNAWAZA VIPATO VYETU TU KWELI KARNE HII KAZI TUNAYOHiyo kawaida sana kinachoumiza ni kama jamaa amechange kimaisha na kipato kimeongezeka then wewe upo na man ambaye kipato chake hakimfikii x then hata life lake n normal tu so ukipata taarifa kwa mtu aliekua akifahamu uhusiano wenu akikwambia kumuhusu jamaa dah karoho kanaumaga kimtindo japo si sana.,maana unakuta mtoa taarifa anakuja na mbwembwe nyingi hatari yan.