illegal migrant
JF-Expert Member
- Oct 18, 2013
- 1,277
- 1,119
Kuna hii tabia ya watu kuingia kwenye maofisi ya watu, hawataki kufuata utaratibu ukimuuliza anakwambia unajua unaongea na nani.
Hii tabia inanikumbusha aliyewahi kuwa Waziri wa nishati na madini, siku alipoingia kwenye ATM na kuanza kuongea na simu muda mrefu yule mlinzi alipomfuata "jamaa" akampiga makofi.
Tukio lingine ni aliyewahi kuwa Naibu Waziri wa mambo ya ndani na hivi majuzi amejiuzulua akiwa Waziri wa Maliasili, huyu jamaa alipita maeneo ya Kijitonyama akiwa kwenye gari linaloendeshwa na dereva wake, walipokuta foleni ikabidi "watanue" askari wa kike alipowasimamisha akajibiwa "unajua unaongea na nani" kisha baada ya hapo yaliyomkuta huyo askari anajua Mungu mawazo yangu kama we ni nani au ni nani unaeshimu taratibu na pia ueshimu kazi za watu bila kujali cheo.
Mungu ni mkubwa hao wote niliowataja walisitisha au kusitishiwa ajira zao baada ya kashfa kwa sasa kuna "jamaa" fulani ambaye ki cheo ni Waziri huyu "jamaa" huwa anakuja sana ofisini kwetu akifika hasalimii watu pale mapokezi ye huingia tu kule back office ambako kuna boss wetu rafiki yake sasa juzi nilifurahi kwa sababu ofisini pale kwenye corridor kulikuwa kumefanyiwa fumigation.
Mheshimiwa alirudi mbio huyo wenzetu wenye vyeo acheni tabia hizi ni za kishamba.
Hii tabia inanikumbusha aliyewahi kuwa Waziri wa nishati na madini, siku alipoingia kwenye ATM na kuanza kuongea na simu muda mrefu yule mlinzi alipomfuata "jamaa" akampiga makofi.
Tukio lingine ni aliyewahi kuwa Naibu Waziri wa mambo ya ndani na hivi majuzi amejiuzulua akiwa Waziri wa Maliasili, huyu jamaa alipita maeneo ya Kijitonyama akiwa kwenye gari linaloendeshwa na dereva wake, walipokuta foleni ikabidi "watanue" askari wa kike alipowasimamisha akajibiwa "unajua unaongea na nani" kisha baada ya hapo yaliyomkuta huyo askari anajua Mungu mawazo yangu kama we ni nani au ni nani unaeshimu taratibu na pia ueshimu kazi za watu bila kujali cheo.
Mungu ni mkubwa hao wote niliowataja walisitisha au kusitishiwa ajira zao baada ya kashfa kwa sasa kuna "jamaa" fulani ambaye ki cheo ni Waziri huyu "jamaa" huwa anakuja sana ofisini kwetu akifika hasalimii watu pale mapokezi ye huingia tu kule back office ambako kuna boss wetu rafiki yake sasa juzi nilifurahi kwa sababu ofisini pale kwenye corridor kulikuwa kumefanyiwa fumigation.
Mheshimiwa alirudi mbio huyo wenzetu wenye vyeo acheni tabia hizi ni za kishamba.