Unajua sababu gani Zanzibar ufaulu Sekondari uko chini sana?

Wazazi na Vijana wa Zanzibar hawapendi Elimu dunia, Elimu kwao siyo kipaumbele, na mwanafunzi akipata ujauzito wana ozeshwa kila zima na hakuna wanao ludi shule kusoma, na wasichana wa uku Zanzibar wao vipaumbele vyao ni kuolewa na siyo kusoma shule
Sawa mkuu
 
Tulimsikia Rais Samia akitoa mfano wa Zanzibar wa kuruhusu wasichana wanaopata mimba kurudi kuendelea na elimu ya sekondari kwenye shule za umma.

Lakini ambacho hakutaka kusema ni ufaulu hafifu wa muda mrefu wa Zanzibar kwenye mitihani ya kufuzu elimu ya sekondari. Ilifikia hatua hadi kudai kuna kuihujumu Zanzibar huko NECTA.

Lakini mungefanya utafiti nina hakika mungekuta kuwasomesha watoto wazazi kunapelekea wao kushindwa kufanya vizuri kwa kua wametangulizwa kwenye mambo ya mapenzi na uzazi kabla ya muda wao kwenye maisha.

Badala ya kuleta utaratibu huo bara nadhani huko Zanzibar ndio kuna tatizo halifai kuigwa.

Katika mambo tunakosea ni hili la kutaka kuwachanganya watoto wa kike wazazi katika shule za kawaida za umma.

Kwanini hatujaangalia nchi zingine zinafanya vipi? Maana hata hizo nchi zinazowachochea hao wapiga debe wa suala hili nchini kwao watoto wazazi hawasomi shule za umma wakishakua wazazi.
Ushauri wa bure: Ukiwa na binti mlee katika maadili ili K yake isiguswe na mwanaume yeyote hadi amalize shule.
 
Mbona population yao siyo kubwa sn?
Haiwez kuoneka kama uku bara, kwasababu wao wana mifumo yao tofauti na Sisi wa bara, wao mwanafunzi wa kiume akimpata mimba mwanafunzi wakike wanafungishwa ndoa tena ndoa ya kidini, tofaute na Tanganyika Bara ukimpa mimba mwanafunzi hukumu yake ni kutumikia kifungo cha miaka 30, kwa wa Zanzibar wao Una ozeshwa bint uliye mpa mimba
 
Haiwez kuoneka kama uku bara, kwasababu wao wana mifumo yao tofauti na Sisi wa bara, wao mwanafunzi wa kiume akimpata mimba mwanafunzi wakike wanafungishwa ndoa tena ndoa ya kidini, tofaute na Tanganyika Bara ukimpa mimba mwanafunzi hukumu yake ni kutumikia kifungo cha miaka 30, kwa wa Zanzibar wao Una ozeshwa bint uliye mpa mimba
Basi wapo vizuri
 
Halafu huyo wa kiume anaendelea na shule?
Jamii ya ki Zanzibar Elimu dunia kwao siyo kipaumbele Chao mtoto aende shule hasiende wazazi hawa shughuliki nae lakin mtoto hasipoenda Madras ni kosa kubwa na ana chapwa fimbo, kwa kifupi aende shule hasiende hakuna mtu atakaye shughulika nae.
 
Back
Top Bottom