Unajua sababu gani Zanzibar ufaulu Sekondari uko chini sana?

kmbwembwe

JF-Expert Member
Aug 16, 2012
10,418
7,206
Tulimsikia Rais Samia akitoa mfano wa Zanzibar wa kuruhusu wasichana wanaopata mimba kurudi kuendelea na elimu ya sekondari kwenye shule za umma.

Lakini ambacho hakutaka kusema ni ufaulu hafifu wa muda mrefu wa Zanzibar kwenye mitihani ya kufuzu elimu ya sekondari. Ilifikia hatua hadi kudai kuna kuihujumu Zanzibar huko NECTA.

Lakini mungefanya utafiti nina hakika mungekuta kuwasomesha watoto wazazi kunapelekea wao kushindwa kufanya vizuri kwa kua wametangulizwa kwenye mambo ya mapenzi na uzazi kabla ya muda wao kwenye maisha.

Badala ya kuleta utaratibu huo bara nadhani huko Zanzibar ndio kuna tatizo halifai kuigwa.

Katika mambo tunakosea ni hili la kutaka kuwachanganya watoto wa kike wazazi katika shule za kawaida za umma.

Kwanini hatujaangalia nchi zingine zinafanya vipi? Maana hata hizo nchi zinazowachochea hao wapiga debe wa suala hili nchini kwao watoto wazazi hawasomi shule za umma wakishakua wazazi.
 
Ndugu zetu wale elimu wameigawa katika makundi mawili..elimu dunia na elimu akhera..elimu dunia haina maana kwa sababu haiwezi kukufikisha popote pale.

Elimu akhera hii ndio yenyewe itakufikisha peponi kwenye mito ya pombe na asali...kule peponi utawakuta wanawake wenye macho makubwa kama vikombe na mizigo mikubwa kama ile ya ustaz kipozeo. sasa kuna haja gani ya kujihangaisha na elimu dunia ndugu zangu..
 
Kwenye Utawala Wangu Hakuna Kubembeleza, Subirini Atakaye Kuja Labda Atawabembeleza
Unampa Mtoto Uji, Analia, Unammenyea Yai Hataki Kula
Unaona Anatupa Kikombe Cha Uji Chini
Unajua Huyu Mtoto Ana Kiburi
Unamzaba Kibao Utaona Atakavyobugia Uji
Ndiyo Ukweli Ndugu Zangu
By Mzilankende
 
Siku watakapoanza kuwa na vichogo kama sisi Watanganyika, basi kila mwaka shule zao zitaingia 10 bora.
 
Tulimsikia Rais Samia akitoa mfano wa Zanzibar wa kuruhusu wasichana wanaopata mimba kurudi kuendelea na elimu ya sekondari kwenye shule za umma.

Lakini ambacho hakutaka kusema ni ufaulu hafifu wa muda mrefu wa Zanzibar kwenye mitihani ya kufuzu elimu ya sekondari. Ilifikia hatua hadi kudai kuna kuihujumu Zanzibar huko NECTA.

Lakini mungefanya utafiti nina hakika mungekuta kuwasomesha watoto wazazi kunapelekea wao kushindwa kufanya vizuri kwa kua wametangulizwa kwenye mambo ya mapenzi na uzazi kabla ya muda wao kwenye maisha.

Badala ya kuleta utaratibu huo bara nadhani huko Zanzibar ndio kuna tatizo halifai kuigwa.

Katika mambo tunakosea ni hili la kutaka kuwachanganya watoto wa kike wazazi katika shule za kawaida za umma.

Kwanini hatujaangalia nchi zingine zinafanya vipi? Maana hata hizo nchi zinazowachochea hao wapiga debe wa suala hili nchini kwao watoto wazazi hawasomi shule za umma wakishakua wazazi.
Irrelevant and immaterial.... Yaani pumbaaa... Wavulana je??
 
Ndugu zetu wale elimu wameigawa katika makundi mawili..elimu dunia na elimu akhera..elimu dunia haina maana kwa sababu haiwezi kukufikisha popote pale...elimu akhera hii ndio yenyewe itakufikisha peponi kwenye mito ya pombe na asali...kule peponi utawakuta wanawake wenye macho makubwa kama vikombe na mizigo mikubwa kama ile ya ustaz kipozeo...sasa kuna haja gani ya kujihangaisha na elimu dunia ndugu zangu..
Nikifika peponi nikakutana na mwanamke mwenye macho makubwa kama vikombe, nitawaomba malaika wanirudishie nauli yangu.

Huwa sipendi usumbufu!
 
Daaaah
emoji848.png
ndo nini hiki sasa.
Ndio
Daaaahndo nini hiki sasa.
Ndio ukweli. Tumezoea kudanganyana hadi ukweli unashtua.
 
Poor point, kwa hiyo Zanzibar hakuna wavulana wanaosoma wote ni wazazi?
Wazazi na Vijana wa Zanzibar hawapendi Elimu dunia, Elimu kwao siyo kipaumbele, na mwanafunzi akipata ujauzito wana ozeshwa kila zima na hakuna wanao ludi shule kusoma, na wasichana wa uku Zanzibar wao vipaumbele vyao ni kuolewa na siyo kusoma shule
 
Back
Top Bottom