Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,774
- 93,547
Jidanganye hata Joe Biden anapita kwenye mitandao ndugu yangu mambo yamebadilika snNazani migongano na minyukano juu ya Utawala wa Mama ndio kitu kinachoendelea Sasa. Na NI vilevile kila moja anataka kuficha makosa yake. Kuongoza nchi kando kwa kushauri au kushauri anavyojua. Sasa NI Kazi ya washauri kumfanya Raisi asipitie kabisa maoni ya mitandaoni ili asiyumbishwe na watu wengine Ila kufata mawazo yao.