OLS
JF-Expert Member
- Oct 12, 2019
- 419
- 669
Kutokana na Covid19 makampuni mengi yametangazwa bei zake kushuka kwa kasi, hasa nchi zilizoendelea. Kushuka kwa hisa mambo kadhaa kwa wanunuzi wa hisa, lakini pia huashiria kitu kwa kampuni husika ambayo hisa zake zimeshuka
Hisa zikishuka bei huwa, watu hawana hela ya kununua hisa, hela huwa inaenda kufanya mambo mengine kwa wakati huo. Wanouza hisa hulazimika kushusha bei ili walau watu wavutiwe kununua hisa, na hapo hisa hushuka bei.
Lakini pia, hisa ni uwekezaji ambao mtu hutarajia faida kutoka kwenye kampuni ambayo ana hisa zake. Inapotokea matarajio ya kampuni kupata hasara au kufa, basi watu huacha kununua hisa na hivyo bei hushuka kwa kasi
Kwa kipindi hiki cha Covid19 makampuni mengi yanatarajiwa kupata hasara na ndio sababu ya hisa kushuka bei.
.
Kumbuka, inashauriwa kusoma taarifa za fedha ya kampuni kabla haujanunua hisa zake,
Hisa zikishuka bei huwa, watu hawana hela ya kununua hisa, hela huwa inaenda kufanya mambo mengine kwa wakati huo. Wanouza hisa hulazimika kushusha bei ili walau watu wavutiwe kununua hisa, na hapo hisa hushuka bei.
Lakini pia, hisa ni uwekezaji ambao mtu hutarajia faida kutoka kwenye kampuni ambayo ana hisa zake. Inapotokea matarajio ya kampuni kupata hasara au kufa, basi watu huacha kununua hisa na hivyo bei hushuka kwa kasi
Kwa kipindi hiki cha Covid19 makampuni mengi yanatarajiwa kupata hasara na ndio sababu ya hisa kushuka bei.
.
Kumbuka, inashauriwa kusoma taarifa za fedha ya kampuni kabla haujanunua hisa zake,