Wakuu
Nadhani hata wewe utakuwa umejiuliza hili swali mara nyingi mno "kwanini waganga wengi wa kienyeji sio wachagga" yaani ni vigumu kusikia Dk.massawe anatibu mvuto wa mapenzi biashara sijui kukuunganisha Freemason na E.t.c
Jibu ni kuwa Uganga haulipi kabisa ungekuwa unalipa basi ungekuta bango limeandikwa
"Mganga kutoka moshi"
..........
Kilaza
Nadhani hata wewe utakuwa umejiuliza hili swali mara nyingi mno "kwanini waganga wengi wa kienyeji sio wachagga" yaani ni vigumu kusikia Dk.massawe anatibu mvuto wa mapenzi biashara sijui kukuunganisha Freemason na E.t.c
Jibu ni kuwa Uganga haulipi kabisa ungekuwa unalipa basi ungekuta bango limeandikwa
"Mganga kutoka moshi"
..........
Kilaza