Freiston
JF-Expert Member
- Oct 25, 2020
- 302
- 339
- Thread starter
- #21
Soma report vizuri... katika nchi zote za Africa mashariki only Tanzania debt free kutokana na hela za korona.Acha uongo we jamaa kwamba haukusikia kwenye bunge la EU walivyokuwa wanalalamika na kuhoji Tz mmechukua pesa kwa ajili ya kujikinga na Covid na hamfuati masharti yao? Au kisa mzigo ulikuwa unapigwa kimya kimya?
Hata hivo hiyo sio lengo la mada yangu hapo juu. Someni in-between lines