Unajua kuwa ziwa Tanganyika linalizidi ziwa Victoria ukubwa karibu mara saba?

Red Giant

JF-Expert Member
Mar 9, 2012
15,658
20,887
Ndiyo ukweli. ni kama kufananisha sahani na bakuli. ziwa victoria ni pana na shallow kama sahani wakati Tanganyika ni deep kama bakuli. hili limefanya tanganyika kuwa na km za ujazo za maji 18,900 wakati victoria inazo 2,750 tu. hata lake Nyasa ni kubwa kubwa kuliko victoria likiwa na km za ujazo 8,400. laiti tungeona umuhimu wa kutumia maji hayo kwenye kilimo tungeweza kulisha Africa nzima.
 
Ndiyo ukweli. ni kama kufananisha sahani na bakuli. ziwa victoria ni pana na shallow kama sahani wakati Tanganyika ni deep kama bakuli. hili limefanya tanganyika kuwa na km za ujazo za maji 18,900 wakati victoria inazo 2,750 tu. hata lake Nyasa ni kubwa kubwa kuliko victoria likiwa na km za ujazo 8,400. laiti tungeona umuhimu wa kutumia maji hayo kwenye kilimo tungeweza kulisha Africa nzima.

Inashangaza waposema wanataka maji ya Victoria waya pump kwenda Tabora na Dodoma, wakifana makosa hayo kina chake kitapungu sana, hata ukienda Mwanza South unaona kabisa kina cha maji kumepungua siyo kama ilivyo kuwa zamani, sasa sijui hii ilisababishwa kwa kupamp maji kwenda Shinyanga?
 
Inashangaza waposema wanataka maji ya Victoria waya pump kwenda Tabora na Dodoma, wakifana makosa hayo kina chake kitapungu sana, hata ukienda Mwanza South unaona kabisa kina cha maji kumepungua siyo kama ilivyo kuwa zamani, sasa sijui hii ilisababishwa kwa kupamp maji kwenda Shinyanga?
unajua niliandika hivi baada ya kuona ile habari. victoria ina maji machache yenye urasimu mwingi. bora waingie gharama wakachukue maji ya uhakika Tanganyika.
 
unajua niliandika hivi baada ya kuona ile habari. victoria ina maji machache yenye urasimu mwingi. bora waingie gharama wakachukue maji ya uhakika Tanganyika.
maji mule hayatoki wanayaogopa
lile ziwa kuna samaki tangu dunia ianze hawajawai kuvuliwa
mule kuna samaki wana miaka hata 50 na hadi wengine wanakufa kwa uzee mule kuna lango pia la kufika dunia isiyoonekana kwa macho
nchi ya maziwa matatu inastaajabisha mashua ikizama kuipata maiti kimbembe kuna sehemu wavuvi hawafiki kuvua ng'o hata kwa mtutu wa bunduki
 
Inashangaza waposema wanataka maji ya Victoria waya pump kwenda Tabora na Dodoma, wakifana makosa hayo kina chake kitapungu sana, hata ukienda Mwanza South unaona kabisa kina cha maji kumepungua siyo kama ilivyo kuwa zamani, sasa sijui hii ilisababishwa kwa kupamp maji kwenda Shinyanga?
lakini tunapoongelea ziwa Victoria tunaongelea mto Nile kwa hiyo logic yako ya maji kuisha sijaielewa relative to ziwa Tanganyika. Rate ya kupungua pengine zisitofautiana sana sababu maji ya nile yanapita tu ziwa Victoria kwa hiyo tunapopunguza yanakuja mengine lakini si kwa kiwango kile kile cha mwanzo. Lakini yanakuwa yanapungua taratibu sababu mto Nile unafidia kiasi kitakachokuwa kinapungua ila si kwa kasi ile ile ya kupungua. Wahandisi ndo wanashauri wapi maji yachukuliwe...Kwa hiyo tukifata kigezo cha wapi kuna eneo kuwabwa la maji tunakuwa tunapotosha maana tunakuwa hatuja consider Nile Factor kwa Victoria
 
Kwahiyo Tanganyika lina ujazo mwingi ila sio kubwa
Sure, lile lina kina zaidi of which kina kinapokua kikubwa zaidi means maji yanazama zaidi, natamani kuelezea mambo ya KINA na UKUBWA kwakutumia mifano halisi tatizo hili sio jukwaa la wakubwa.
 
Kwahiyo Tanganyika lina ujazo mwingi ila sio kubwa
Ticha ujazo si ndiyo ukubwa? ukizungumzia ujazo unazungumzia upanaxkimoxurefu. hii ndiyo inakupa picha ya ukubwa. upana au surface area haitoi picha ya ukubwa. sahani ya victoria imedumbukia kwenda chini hadi 83m wakati bakuli la tanganyika limedumbukia hadi 1,470m. urefu wa kwenda chini ndiyo unafanya tanganyika liwe kubwa.
 
Back
Top Bottom