Unajua kirefu cha BOMA

Inkoskaz

JF-Expert Member
Nov 6, 2010
6,372
2,374
Karibu katika kila mkoa au wilaya katika makao makuu ya serikali ya mkoloni (kwa RC or DC) hata huko Zambia na Malawi huwa kuna BOMA na huitwa Bomani kumbe ni British Overseas Management Adminstration
Japo kwa baadhi ya jamii za bongo Boma ni zizi la mifugo au mkusanyiko wa kaya.
UPO HAPO??
 
Karibu katika kila mkoa au wilaya katika makao makuu ya serikali ya mkoloni (kwa RC or DC) hata huko Zambia na Malawi huwa kuna BOMA na huitwa Bomani kumbe ni British Overseas Management Adminstration
Japo kwa baadhi ya jamii za bongo Boma ni zizi la mifugo au mkusanyiko wa kaya.
UPO HAPO??
Vipi kuhusu pale BOMA NGOMBE pale wilayani Hai, ina maana palikuwa na zizi la ngombe mji wate ule
 
British Overseas Management Adminstration???
Please substantiate your arguement (source of literature, etc). :embarrassed:
 
Hee basi babu yangu atakuwa alichanganya madesa aliniambia ni British Overseas Management Authority
 
sishangai coz hata kariakoo ilikuwa ni carrier corps, waswazi tukainyambulisha mpaka kariakoo ya sasa. newala ilikuwa new wells mpo hapo!
 
boma:

wikipedia said:
a boma is a livestock enclosure, a stockade or kind of fort, or a district government office. The term is used in many parts of eastern, central and southern africa and is incorporated into many african languages as well as colonial varieties of english, french and german.
As a livestock enclosure, boma is the equivalent of 'kraal', and the former being used in areas influenced by swahili and the latter in areas influenced by afrikaans.
In the form of fortified villages or camps, bomas were commonplace in central africa in the 18th and 19th century in areas affected by the slave trade, tribal wars and colonial conquest, and were built by both sides in such conflicts.
In british colonies, especially in remote areas, boma came to be used to mean colonial government offices because in the late 19th century such offices usually included a fortified police station or military barracks, often in the form of a timber stockade, though some had stone walls. Many were called forts, as in 'fort jameson' or 'fort rosebery'. In the 20th century it came to mean the district or provincial government headquarters, even where fortifications were no longer required.[2]
boma is still commonly used in eastern and southern africa with this meaning. An example appeared in the nation, an english-language newspaper published in blantyre, malawi, on may 26, 2006: "in chitipa, 24 somalis were arrested at the boma."
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom