Inkoskaz
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 6,371
- 2,379
Karibu katika kila mkoa au wilaya katika makao makuu ya serikali ya mkoloni (kwa RC or DC) hata huko Zambia na Malawi huwa kuna BOMA na huitwa Bomani kumbe ni British Overseas Management Adminstration
Japo kwa baadhi ya jamii za bongo Boma ni zizi la mifugo au mkusanyiko wa kaya.
UPO HAPO??
Japo kwa baadhi ya jamii za bongo Boma ni zizi la mifugo au mkusanyiko wa kaya.
UPO HAPO??