Luteni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 2,274
- 301
Hii ni bendera wakati tuko chini ya Wajerumani 1885-1919
Flag of Deutsch-Ostafrika (1885-1919)
Hii ni wakati tuko chini ya Mwingereza 1919-1961
Flag of Tanganyika (1919-1961)
Hii ni wakati tulipopata uhuru 1961-1964
Flag of the Republic of Tanganyika 1962–64
Hii ni bendera ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania toka 1964-..........
Una maoni gani kuhusu bendera hizi je zinagusa au kuchangia sehemu yeyote ya maisha yako au unawezaishi bila hata kujua ama kutambua bendera yako ikoje kifupi hazisaidii
Flag of Deutsch-Ostafrika (1885-1919)
Hii ni wakati tuko chini ya Mwingereza 1919-1961
Flag of Tanganyika (1919-1961)
Hii ni wakati tulipopata uhuru 1961-1964
Flag of the Republic of Tanganyika 1962–64
Hii ni bendera ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania toka 1964-..........
Una maoni gani kuhusu bendera hizi je zinagusa au kuchangia sehemu yeyote ya maisha yako au unawezaishi bila hata kujua ama kutambua bendera yako ikoje kifupi hazisaidii