Senior Boss
JF-Expert Member
- Aug 19, 2011
- 3,405
- 3,678
mkuu hzo sifa zote ninazo,yan nikiona msichana mzuri ameugusa moyo wangu namwambia tu ME NAHITAJ KUWA NA WEW,apo sasa ndo kazi ianziapo
Alaf at tyms unaweza ukawa mtu wa kuongea ma point ya life na bado unapigwa chini.
Alaf kuna wenzio wako smart nd appealling nusu ya maongezi ni pumba tu na ucheshi na wanang'oa vitu vya hatari. Other things being constant, Balansisha maongezi yako nae kote kote i.e. Masihara, unafki unao ambatana na ucheshi na most of all ni care (make her business your business).
In general huo ndio uchawi wangu. Jaribu ku mix madawa unaweza fanikiwa. Lol