Mikono yote ina thamani sawa, vidole vyote vinashabihiana, hakuna mkono ulio bora kuliko mwingine. Wanaotumia kushota watoe kwa kushoto, na anaetumi kulia atoe kwa kulia . Dhana kushoto ni mkono wa kuchamba ndio chanzo cha kushusha heshina ya kushoto. Wanaochamba kwa kulia vipi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.