Unajisikiaje pale mtu akikupa au kupokea kwa mkono wa kushoto?

Ni unyanyasaji kwa watu wanaotumia mkono kushoto embu wewe unaetumia kulia jaribu kujilamisha kutumia mkono wa kushoto uone inavyoumiza
Kuna right handers wengi tu ambao hutumia huchamba kwa kutumia kulia japo hapa hawawezi kusema.

Mimi ni mashoto natural kiasi kwamba kazi za mkono wa kulia ni chache sana. Vivyo hivyo kuna wadau ambao pia ni natural right handers kiasi cha kushindwa kutumia kushoto kwa mambo mengi, kwakuwa hilo zoezi ni la faragha wanaamua isiwe kesi!
 
Salama waungwana!

Hii dhana ina maana gani?

Nimekuwa nikiona na kusikia wanajamii kuhusu jambo hili, wewe pia bila shaka umewahi kusikia na pengine kufikiria na pengine hadi kupata majibu.

Binafsi nimekuwa sijali sana kuhusu hilo, lakini kuna nyakati nimekutana na vizuizi nikitumia ‘kushoto' au kuonekana 'mimi' wa ajabu!

Hebu tusaidiane hili, kuna nini cha tofauti zaidi katika mikono hii kushoto na kulia katika kutoa ama kupokea?

Je, ni imani, ni ubaguzi tu wa viungo, ni mgawanyo wa majukumu au ni kitu gani hasa?

Let alone wale naturally left handed, japo nao wamekutana na vipigo sana tu hasa utotoni nyakati za kula chakula.


Karibuni.
Binafsi mm siwapi watu vitu kwa mkono wa kushoto ila wao hunipa. Napokea nikiamini hawajui au wanapuuzzia
 
Salama waungwana!

Hii dhana ina maana gani?

Nimekuwa nikiona na kusikia wanajamii kuhusu jambo hili, wewe pia bila shaka umewahi kusikia na pengine kufikiria na pengine hadi kupata majibu.

Binafsi nimekuwa sijali sana kuhusu hilo, lakini kuna nyakati nimekutana na vizuizi nikitumia ‘kushoto' au kuonekana 'mimi' wa ajabu!

Hebu tusaidiane hili, kuna nini cha tofauti zaidi katika mikono hii kushoto na kulia katika kutoa ama kupokea?

Je, ni imani, ni ubaguzi tu wa viungo, ni mgawanyo wa majukumu au ni kitu gani hasa?

Let alone wale naturally left handed, japo nao wamekutana na vipigo sana tu hasa utotoni nyakati za kula chakula.


Karibuni.
Naona kawaida kwa sasa, zamani ilikua ni ajabu kuona mtu ananusa chakula mezani. Lakini binafsi I do. Kujua kama kitanipa appetite ama vipi
 
Kwa sisi tunao tumia left hand tuna kumbana sana na hii changamoto watu Wana tafsiri tofauti kabisa

Juzi nilikuwa namlipa jamaa pesa yake ambayo tuli rumbana kwa yeye kukiuka makubaliano kwa kuepusha Shari Nika amua nimpe tuu ila nili kosea nikatumia mkono wa kushoto daaa kilicho tokea shida kwel sio kwa maneno yale alivyo nitolea ika bidi ni myang'anye Ile pesa nitoe pesa nyingine kwenye wallet na kumpatia kwa mkono wa kuume /kulia
 
Wote mnaotumia mkono wa kushoto kama master hand yetu naomba mlike hii post!!
Tusisahau siku yetu ni 13 August
 
Back
Top Bottom