'akikupa'? Akikupa nini wee Semenya wa Ukaldayo?Salama waungwana!
Hii dhana ina maana gani?
Nimekuwa nikiona na kusikia wanajamii kuhusu jambo hili, wewe pia bila shaka umewahi kusikia na pengine kufikiria na pengine hadi kupata majibu.
Binafsi nimekuwa sijali sana kuhusu hilo, lakini kuna nyakati nimekutana na vizuizi nikitumia ‘kushoto' au kuonekana 'mimi' wa ajabu!
Hebu tusaidiane hili, kuna nini cha tofauti zaidi katika mikono hii kushoto na kulia katika kutoa ama kupokea?
Je, ni imani, ni ubaguzi tu wa viungo, ni mgawanyo wa majukumu au ni kitu gani hasa?
Let alone wale naturally left handed, japo nao wamekutana na vipigo sana tu hasa utotoni nyakati za kula chakula.
Karibuni.
Dah mkuu kumbe bado humo jamvin?FYI... Ustaarabu huu ni miongoni mwa Tabia zilizojengwa itikadi za Dini.... na walioleta ni WAARABU ktk kuwafundisha wakazi wa pwani ya Afrika Mashariki mwenendo wa hadhi kati jamii....
Binafsi I don't mind ila huwa najishtukia nikimpa mtu mwingine kitu kwa mkono wa kushoto, haswa nisiyefahamiana nae kwasababu tu anaweza akawa offended.
Ila kwangu fresh tu.
Binafsi I don't mind ila huwa najishtukia nikimpa mtu mwingine kitu kwa mkono wa kushoto, haswa nisiyefahamiana nae kwasababu tu anaweza akawa offended.
Ila kwangu fresh tu.
Imebidi nicheke tu 🤣🤣🤣
Nyie watu nimewakubali sana, mna mawazo sio tu yanafanana bali mnawaza kitu kimoja.... hongereni sana.
UkateKono linapita kwenye mtaro wa maji machafu. PTUUU!!
halafu wana jinsi tofauti I guess
Nyie watu nimewakubali sana, mna mawazo sio tu yanafanana bali mnawaza kitu kimoja.... hongereni sana.
Njoo uukateUkate
Kama ni mkono wa mavi ukate sasa mkono wako wa kushoto si aufaimkono wa mavi huo, ni dharau moja kubwa sana
mkuu, mbona povu?Kama ni mkono wa mavi ukate sasa mkono wako wa kushoto si aufai
Embu wewe unaotumia mkono wa kulia jilazimishe kutumia mkono wa kushoto uone inavyoumiza ujue ni unyanyasaji kwa watu wanaotumia kushotomkuu, mbona povu?
nikiukata ntachambia nini sasa?
ili iweje hasa? na wa kulia utakua na kazi gani ?jilazimishe
mkuu, mbona povu?
nikiukata ntachambia nini sasa?
Sikuwa na namnaImebidi nicheke tu 🤣🤣🤣
Inawezekana mawazo yameshabihiana akaona isiwe tabu 🙈🙈
Leo nakuibia siri, uiamini au usiiamini, right handers wengi hutumia mkono wa kulia kutawaza.Kono linapita kwenye mtaro wa maji machafu. PTUUU!!