Unajisikiaje kuwa na mwanamke mwenye 'Wigi'

Nawaambiaga sana dada zangu kuwa mambo wanafanya wakidhani wanapendeza machoni kwa wanaume kumbe ndo wanatuchukiza mno
1.Kuvaa mawigi
2.Kucha bandia
3.Kope bandia
4.kujichubua
5.LIPSTICK
6.KUACHA MAPAJA WAZI

hivi vitu huwa vinanikera mno, sijui ni nani aliyewaambia wakiwa wasafi tu wa kawaida hawatongozwi
yaani hata marashi tu mtu anajipulizia utadhani anajiandaa kuzikwa ukikaa mita nne toka alipo tayari ushapata kipanda uso, warembo wa hivyo nakaa nao mbali kabisa
Kheee angalau kwenye hili nimeokoka hakuna ninachofanya hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wamekua brainwashed kwamba wanawake wenye nywele refu na laini ndio wazuri na wao wenye nywele ngumu za kipipili sio wazuri, mwanamke anapaswa kujiamini na kujikubali jinsi Mungu alivomuumba, kama mzuri ni mzuri tu, unaweza vaa wigi original la laki 5 na bado usivutie.
Kumbe yana bei hvyo! Mi nlijua ni ktu kidichozidi 30k. Swali, je unalitambuaje kuwa hili ni la 500k?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwa najisikia vibaya sana..!! Ila pia inategemea na quality ya wigi lenyewe, mfano ona hawa, wanavutia kidogo

 
Mkuu wavaaji wenyewe hata hawasemi kituhumu natumai bado hawajausoma huu uzi


mimi sio kosa km mtu anajiona ana nywele mbaya au hazipo mwonekano mzuri acha afix kwa wig..mm wig limenishinda..ila nilikua nalo nikagawa...wig ni km mtu mfupi km mie avae highheels apande kidg..mbona easy tu jaman...!itafika kipindi wabana pony tails tutasemwa!
 
Back
Top Bottom