Unajisikiaje kufanya kazi katika kampuni hii?

ubongokid

JF-Expert Member
Apr 30, 2017
2,030
3,908
Maafisa uajiri, hasa wakati wa mahojiano kwa ajili ya ajira(interview) huwa wanuliza maswali mengi sana.Mwishoni baada ya maswali huwa humuuliza muombaji iwapo na yeye ana swali lolote.

Wengi hujianda kwa majibu ya maswali kuhusu mshahara,majibu yatatoka lini na maswali kama hayo.

Leo nataka niwashirikishe swali moja ambalo ni muhimu mkawauliza maafisa uajiri

Swali lenyewe ni hili:Je unajisikiaje Kufanya kazi na kampuni hii/Unaonaji hali/mazingira ya kazi katika kampuni hii(How you feel working with this company?or How do you find the working environment in this company)
 
Aiseee nitabaki namkodolea mijicho tu
Uzuri mtu akikuuliza swali kama hilo huwezi mdangnya maana huwa hujaanda jibu so kama hali ni mbaya macho yatakusaliti ila kama mambo ni mazuri pia utajua cha kusema.Uzuri wa hili swali ni kwamba ukiwuliza HR hata kama uliboronga kwingine utawaacha wakitamani kukuongezea maksi.
 
Uzuri mtu akikuuliza swali kama hilo huwezi mdangnya maana huwa hujaanda jibu so kama hali ni mbaya macho yatakusaliti ila kama mambo ni mazuri pia utajua cha kusema.Uzuri wa hili swali ni kwamba ukiwuliza HR hata kama uliboronga kwingine utawaacha wakitamani kukuongezea maksi.
Kwahiyo wewe ungejibuje?
 
Ni muhimu kufanya research kidogo kuhusu kampuni kabla hujaenda kudahiliwa
Ni kweli inasaidi kukujengea kujiamni ingawa wakati mwingine unajianda kwa interview then unajikua umeenda OP au basi tu mdomo unakauka n maelezo yanayeyuka
 
Hapana mbona swali limekaa kama hr ndo anatakiwa amuulize anayefanyiwa interview ingawa ata kumuuliza yye inawezekana lakn anayefanyiwa interview ndo inafaa
HR anakuwa tayari yupo kazini so anaju mazingira ya kampuni,Muomba kazi anataka HR amwambia anachokiona au kupita ndani ya kampuni
 
Ukinikuta halafu ukaniambia umeipennda kampuni yetu kutokana na mishahara minono inayolipa naweza nikakutema! Ukiniambia umekuja hapa kwa kuwa bosi wako wa zamani alikuwa mjinga,hajielewi,mkorofi,kazi zilikuwa ngumu,au alikupelekesha basi Naweza nikutoe nduki! Ukiniambia una kitu cha ku offer ambacho ulishindwa kuki offer huko ulikotoka basi utakuwa na good chance after proper scrutiny!! Kuna sababu ndogo sana na ambayo unaweza kuichukulia kama haina maana kwako lakini ikaweza kukusaidia ku skip interview na kujikuta mnaongelea namna utakavyo anza ku handle challenges za ajira yako mpya! Unashangaa bosi anaannza kukuuliza 'tuna changamoto Abc,unatusaidiaje kuzi solve?" hapo jua Tayari! Ajira unayo!
 
Ukinikuta halafu ukaniambia umeipennda kampuni yetu kutokana na mishahara minono inayolipa naweza nikakutema! Ukiniambia umekuja hapa kwa kuwa bosi wako wa zamani alikuwa mjinga,hajielewi,mkorofi,kazi zilikuwa ngumu,au alikupelekesha basi Naweza nikutoe nduki! Ukiniambia una kitu cha ku offer ambacho ulishindwa kuki offer huko ulikotoka basi utakuwa na good chance after proper scrutiny!! Kuna sababu ndogo sana na ambayo unaweza kuichukulia kama haina maana kwako lakini ikaweza kukusaidia ku skip interview na kujikuta mnaongelea namna utakavyo anza ku handle challenges za ajira yako mpya! Unashangaa bosi anaannza kukuuliza 'tuna changamoto Abc,unatusaidiaje kuzi solve?" hapo jua Tayari! Ajira unayo!
Mkuu hili swali ni kwa ajili ya muombaji kumuuliza HR anayemsaili
 
Mkuu hili swali ni kwa ajili ya muombaji kumuuliza HR anayemsaili
Kwani nimepinga?ukipewa nafasi ya kumuuliza swali HR basi uwanja ni wako! Muulize swali la kipumbavu akuone mpumbavu au uliza swali la maana akuheshimu! Ni wewe tu!
 
Kwani nimepinga?ukipewa nafasi ya kumuuliza swali HR basi uwanja ni wako! Muulize swali la kipumbavu akuone mpumbavu au uliza swali la maana akuheshimu! Ni wewe tu!
You mean hili ni swali la kipumbavu?Just curious
 
Sasa hilo swali linakujaje wakati bado hiyo kazi sijapata bado? I should work for at least six months to answer that question
 
Back
Top Bottom