Unajipaka mafuta gani mwilini?

Mimi ngozi yangu ni sensitive, ni ya mafuta, mpaka leo sipakagi mafuta yoyote, sijajua nipake mafuta gani!
 
tafuta diva fademilk ya chupa inauzwa elf kumi changanya na hyo clere cocoa butter...ili kuifanya inukie vizur alaf kuifanya iwe nying..kwa ratio mim naweka chupa moja ya diva kweny bakul alaf napima hyo clere kwa kutumia chupa ya diva hyo hyo yenyew naweka chupa mbil..napaka sana ucku..wiki tu ngoz utaona inanawili alaf hyo kitu haina madhara haina chemical za sumu zilizopigwa ban
So Diva moja,clere mbili.vipi unatumia shower gel?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwa napaka Vaseline blue ya mgando, vaseline blue ya lotion, lakini sasa hivi natumia mafuta ya nazi kwa kipindi ambacho nashinda home
 
Hebu wanaukumbi tushee hii kitu, hebu tuambizane. Je unatumia mafuta gani mwilini/lotion/cream? Unaogea sabuni gani?

Mimi kuanzia natumia lotion ya Ingram, naogea sabuni ya Pearl na mafuta ya nazi niliyotengeneza mwenyewe. Kila Jumapili natengeneza.
Matokeo nipo soft mpaka najitamani.

Wewe je?

NB: Natafuta foundation nzuri sijapata naombeni idea
Foundation nzurii kampuni ya Mac

used to love Sleek ila sizioni tena siku hizi
 
Yaani mimi nina ngozi sensitive Natengeneza sabuni ya kuogea na lotion yake, kuna udongo maalum toka Kibaha nautumiaga. Yaani familia nzima ngozi hamna chunusi wala mabaka.
sabuni.jpeg
lotion.jpeg
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom