Unajiepusha vipi na watu wanaopenda kufanya kila njia ili ujue maendeleo yao?

kinyamkela mahaba

JF-Expert Member
May 4, 2022
1,181
1,574
Za alfajiri hii,hivi umewahi kukutana na mtu ile kuzoeana tu kidogo au hata mmekutana siku ya kwanza tu anaanza kuelezea mafanikio yake na bata anazokula kwako?

Unajiepushaje au unawakataa vipi watu wa namna hii? Mimi najua kusifia juhudi zako na raha unazokula siyo jambo baya ila why ufosi kuji expose kwa mtu mliyezoeana muda mfupi tu?

Hii inanikera sana, unakuta mtu mmekutana siku ya 1 tu mala utaskia anaanza kuhakikisha unajuakila kitu chake, mbaya zaidi anakuambia vile vizuri tu, na mbaya mbaya zaidi bila hata kumuuliza. Hii ni inferiority complex au ni nini?

Yaweza kua sipo sahihi ila sidhani kama hu ni uungwana. Ya nini uhakikishe kila kitu kizuri ulichofanya, starehe zako n.k, anajua mtu fulani tena hata bila kukuuliza?

Yaani mtu mmekutana siku 2 ila daaah ashakuambia yote, mara nina nyumba kadhaa, mara leo nilikua kiwanja fulani.

Mara mzee wangu ni mtu fulani, in only 2 days real?

Kero mno hii
 
Pia nina jamaangu yupo mkoa fulani huko, yeye kila tukichekiana labda nikienda huko mkoani kikazi lazima anieleze kuhusu gari yake, mara antajie biashara ambazo anafanya na kiasi cha pesa anachopata.

Sasa kuna siku aliongea kwa proud sana na akawa kama anakejeli kwangu, nami nikamuonesha tu baadhi ya vitu nnavyomiliki na kiasi cha pesa ninachoingiza mbali na ajira, jamaa alimind kwamba "we ni jamaang ila unakuwa na siri sana kumbe unamiliki vitu na huniambii".

Tangu siku hiyo hajawahi tena kunitambia kuhusu bata na kumiliki sijui gari wala biashara.

Nakubaliana na mchangiaji mmoja yawezekana ni life la nyumbani tu gumu(ofcourse tumesoma pamoja mpka darasa la nne) limechangia kupata ujuaji mwingi baada ya kubahatisha visenti.
 
pia nina jamaangu yupo mkoa fulani huko, yeye kila tukichekiana labda nikienda huko mkoani kikazi lazima anieleze kuhusu gari yake, mara antajie biashara ambazo anafanya na kiasi cha pesa anachopata.

Sasa kuna siku aliongea kwa proud sana na akawa kama anakejeli kwangu, nami nikamuonesha tu baadhi ya vitu nnavyomiliki na kiasi cha pesa ninachoingiza mbali na ajira, jamaa alimind kwamba "we ni jamaang ila unakuwa na siri sana kumbe unamiliki vitu na huniambii".

Tangu siku hiyo hajawahi tena kunitambia kuhusu bata na kumiliki sijui gari wala biashara.

Nakubaliana na mchangiaji mmoja yawezekana ni life la nyumbani tu gumu(ofcourse tumesoma pamoja mpka darasa la nne) limechangia kupata ujuaji mwingi baada ya kubahatisha visenti.
Ninachokiona ni uelewa wenu mdogo, wenzetu wakikutana wanaongelea successful waliofikia na kama kunafursa wanayoweza kushare au kusaidiana Ili kusonga mbele zaidi, sasa nyie mnataka mkikutana story ziwe mihogo,utopolo mara jinsi la mgunda
 
Ninachokiona ni uelewa wenu mdogo, wenzetu wakikutana wanaongelea successful waliofikia na kama kunafursa wanayoweza kushare au kusaidiana Ili kusonga mbele zaidi, sasa nyie mnataka mkikutana story ziwe mihogo,utopolo mara jinsi la mgunda
Aaaah siyo kwa namna alivyoeleza mtoa mada bhana. Siku 1? Aaah hapo unatudanganya japokuwa ni jambo la heri kuongelea mafanikio yako, hata kama hujaulizwa???
 
Ninachokiona ni uelewa wenu mdogo, wenzetu wakikutana wanaongelea successful waliofikia na kama kunafursa wanayoweza kushare au kusaidiana Ili kusonga mbele zaidi, sasa nyie mnataka mkikutana story ziwe mihogo,utopolo mara jinsi la mgunda
Kama hiyo ndiyo namna ya kupeana michongo ya kupanda juu zaidi huku akitoa sifa ya umiliki wa vitu vyake binafsi badala ya kutoa idea huo ni ujinga mwingine.

Halafu, member mimi ninatabia ya kusikiliza sana, ila siwezi sikiliza sifa zako binafsi, only Ideas.

Lastly, umeongea vitu ambavyo ushazoea kuvisikia, mambo ya kina mgunda usigeneralize tabia zako na wengine.
 
Wakiwaeleza mali na bata zao hamtaki.
Mnataka wawaeleze shida na matatizo yao.
Je mko tayari kuwasaidia.?
Acheni watu wazungumze watakacho as long as huna unachopoteza na ukiwa umekereka zaidi weka simu sikioni au ondoka hapo mahali.
 
Nime kutana nao pia.Mimi huwa nawapa hongera nyiiingi Kisha natafuta sababu za kuwa kacha. na huwa spendi kukaa karibu nao labda kuwe na mchongo na mchongo ukiisha huwa staki kukaa nao chimbo moja naukiwa fuatilia sana Hawa watu mara nyingi maelezo Yao nikinyume chake Yani akikumabia ana gari basi hana.akikuambia ana nyumba basi haja Jenga. watu kama Hawa ukiwa skiliza sana utajikuta kwenye hali hii 1.utaji hisi umechelewa sana kutafuta. 2.utakata tamaa ya kutafuta na kijiona hufai kuwa mwanaume.au mtu timamu. 3.utaji hisi wewe so Bina dam kaambali na watu kama hao mkuu maneno Yao Yana athiri hakili za wanao waskiliza maneno Yao nizaidi ya sumu kwenye bongo za watafutaji
 
Ni hulka ya kawaida ya binadamu kutafuta heshima kwa njia yoyote ile, ata ww jinsi ambavyo haupendi hiyo tabia unatafuta uheshimiwe pia kwa namna fulani ya tofaut, jifunze kuchukulia mambo madogo kama hayo kawaida tu.
 
Za alfajiri hii,hivi umewahi kukutana na mtu ile kuzoeana tu kidogo au hata mmekutana siku ya kwanza tu anaanza kuelezea mafanikio yake na bata anazokula kwako?

Unajiepushaje au unawakataa vipi watu wa namna hii? Mimi najua kusifia juhudi zako na raha unazokula siyo jambo baya ila why ufosi kuji expose kwa mtu mliyezoeana muda mfupi tu?

Hii inanikera sana, unakuta mtu mmekutana siku ya 1 tu mala utaskia anaanza kuhakikisha unajuakila kitu chake, mbaya zaidi anakuambia vile vizuri tu, na mbaya mbaya zaidi bila hata kumuuliza. Hii ni inferiority complex au ni nini?

Yaweza kua sipo sahihi ila sidhani kama hu ni uungwana. Ya nini uhakikishe kila kitu kizuri ulichofanya, starehe zako n.k, anajua mtu fulani tena hata bila kukuuliza?

Yaani mtu mmekutana siku 2 ila daaah ashakuambia yote, mara nina nyumba kadhaa, mara leo nilikua kiwanja fulani.

Mara mzee wangu ni mtu fulani, in only 2 days real?

Kero mno hii
Mimi kila nikikutana na mtu wa aina hiyo nalia njaa baada ya siku 3 au 4 yeye mwenyewe ananikwepa
 
Wakiwaeleza mali na bata zao hamtaki.
Mnataka wawaeleze shida na matatizo yao.
Je mko tayari kuwasaidia.?
Acheni watu wazungumze watakacho as long as huna unachopoteza na ukiwa umekereka zaidi weka simu sikioni au ondoka hapo mahali.
Mimi ukijitukuza mbele yangu huna bahati nitakupiga vizinga mpaka utaniona nuksi wewe mwenyewe utanikwepa
 
Mi naonaga kama wana upungufu wa akili.
Achana na hiyo kujisifu, ile tu mtu sometimes hata hamjuani ila anafunguka mambo yake ya rafiki zake na watu wake wa karibu.
 
Back
Top Bottom